Umemfananisha, Mbowe hawezi kukaa karibu na Mwigulu! Khaaaaah, haiwezekani mwenyekiti akalamba matapishi yake!
Tena wanapiga Story kwa mbwembwe na Bashasha na laiti hili lingefanywa na Mwingine yeyote wangesema achunguzwe Mara kanunuliwa etc!
Umemfananisha, Mbowe hawezi kukaa karibu na Mwigulu! Khaaaaah, haiwezekani mwenyekiti akalamba matapishi yake!
yanga team ya wajanja,popote ulipo utaipenda-uwe CHADEMA,uwe CCM and so on.hata mimi nimemwona mbowe na mwigule tena




Tatizo ni Mbowe kwenda uwanjani ama?
Philosophy ya maandamano na kuchangishana.Waambieni warudishe michango ya UkutaHatufuati CDM, tunafuata philosophy ya CDM
Nina form six div 0,kama mbowe,haya nieleze kitu kamandaNonsense!!! Una Elimu ya darasa la ngap wewe??… nijibu then ntakueleza kitu??
kunavichwa vingine shida,Kama hujui siasa kaa kimya.
Si ni chadema waliosema hawatashirikiana na wabunge wa ccm wala atakapokuwepo Magufuli hawaji?Yaani wewe unafikiri siasa ni kama kwenda msalani... Unafanya hicho hicho kilichokupeleka pale kwa stahili ile ile..!!
Kwani msanii ni tusi?Basi tumwite Mbowe Ali kibaHivi Mods hii ni sahihi Mbowe kuitwa msanii?
Kwenu nyie wasaliti,kwa wenzenu siasa si uaduiSasa wewe siasa unazichukulia uadui ?! Hii ni tabu vyama tawala kuvichukulia vyama pinzani kama maadui! !
Nimeanza kuwa addicted na hiyo kitu,mpaka najishtukia.yanga team ya wajanja,popote ulipo utaipenda-uwe CHADEMA,uwe CCM and so on.
Nilidhani ungeanza kusema Dar leo MITI mingapi imepandwa maana tumemuona simba wa vita uwanjani na alitangaza tar 1 october yeye na wajeda wataongoza wanadar kupanda miti.Mbowe kuwa uwanjani siyo hoja kwa kuwa na yeye n mwananch kama ww ana haki pia ya kushabikia na kuangalia mpira.Kabla ya kitendo kilichowanyong'onyesha wafuasi wa chadema cha kufuta ukuta,bila sababu za kueleweka huku akiwa ametoa maagizo mazito ya kuchangishana pesa ambazo wameliwa,hakijapoa,,
Kamera za televisheni ya Azam,zimemmulika akiwa uwanja wa taifa,kapiga nne,akiongea kwa bashasha na Mwigulu Nchemba kama sio yeye alietoa amri ya kuwasusia wabunge wa ccm popote pale
Ushauri wangu
Chadema sio kila mnachoambiwa na viongozi wenu mnafuata mkumbo bila ya kupima
mtu aliyekuwa DJ kuna kosa gani kumuita msanii.. si unawaona akina adam mchomvu! ni ma DJ na mara moja moja wanatupia single zao. mie naona ni mule mule tu.Hivi Mods hii ni sahihi Mbowe kuitwa msanii?