Mbowe afuta UKUTA, aibukia taifa

Mbowe afuta UKUTA, aibukia taifa

Wewe ulitaka iweje mleta mada,ulitaka maandamano au ulitaka iweje?.....maana lengo la uzi wako halieleweki...na je kwenda kuangalia mpira ni dhambi....kama mwenyekitu ametamka walichokubaliana wewe inakuuuma nin?

Nilitegemea wana CDM ndio walalamike sasa upo nje ya cdm nin kinakuuma?

Acha unafiki wa kike!!
 
Kabla ya kitendo kilichowanyong'onyesha wafuasi wa chadema cha kufuta ukuta,bila sababu za kueleweka huku akiwa ametoa maagizo mazito ya kuchangishana pesa ambazo wameliwa,hakijapoa,,
Kamera za televisheni ya Azam,zimemmulika msanii huyo akiwa uwanja wa taifa,kapiga nne,akiongea kwa bashasha na Mwigulu Nchemba kama sio yeye alietoa amri ya kuwasusia wabunge wa ccm popote pale

Ushauri wangu
Chadema sio kila mnachoambiwa na viongozi wenu mnafuata mkumbo bila ya kupima
kafuate mkumbo huko ccm ya chadema hayakuhusu,wacha tufanye yetu
 
Kabla ya kitendo kilichowanyong'onyesha wafuasi wa chadema cha kufuta ukuta,bila sababu za kueleweka huku akiwa ametoa maagizo mazito ya kuchangishana pesa ambazo wameliwa,hakijapoa,,
Kamera za televisheni ya Azam,zimemmulika msanii huyo akiwa uwanja wa taifa,kapiga nne,akiongea kwa bashasha na Mwigulu Nchemba kama sio yeye alietoa amri ya kuwasusia wabunge wa ccm popote pale

Ushauri wangu
Chadema sio kila mnachoambiwa na viongozi wenu mnafuata mkumbo bila ya kupima

Yaani wewe unafikiri siasa ni kama kwenda msalani... Unafanya hicho hicho kilichokupeleka pale kwa stahili ile ile..!!
 
Kabla ya kitendo kilichowanyong'onyesha wafuasi wa chadema cha kufuta ukuta,bila sababu za kueleweka huku akiwa ametoa maagizo mazito ya kuchangishana pesa ambazo wameliwa,hakijapoa,,
Kamera za televisheni ya Azam,zimemmulika msanii huyo akiwa uwanja wa taifa,kapiga nne,akiongea kwa bashasha na Mwigulu Nchemba kama sio yeye alietoa amri ya kuwasusia wabunge wa ccm popote pale

Ushauri wangu
Chadema sio kila mnachoambiwa na viongozi wenu mnafuata mkumbo bila ya kupima
Nonsense!!! Una Elimu ya darasa la ngap wewe??… nijibu then ntakueleza kitu??
 
Message ilifika mpaka utafiti uliochakachuliwa ukafanyika. Haiwezekani asili mia 85 ama 95 zikataka upinzani wanautaka na uruhusiwe kufanya kazi yake lakini asili 16 tu wawe ndiyo wameusikia. Na asili mia 9 tu eti ndiyo wako tayari kuandamana nchini.🙂 🙂 Haiwezekani
kwani wwe ulikua tayari kuandamana...kama hukua tayari utafiti una ukweli
 
Sasa kwa yale macho anaangalia mpiraa au anamuangalia mwigulu.
 
Huku akionekana mwenye uso wa Furaha. Mhe Mbowe tumemshuhudia akishangilia bao na mkono na mhe Mwigulu Nchemba.
 
Leo nimemuona kwa macho yangu, akiwa na mwingulu wakishangilia timu yao ya CCM Dah kweli siasa hizi, pasua kichwa.
Haya bwana ila sisi hatudanganyiki na hatufungiki kirahisi. Team profesa
 
Back
Top Bottom