Mbowe afuta UKUTA, aibukia taifa

Mbowe afuta UKUTA, aibukia taifa

kabombe

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2011
Posts
26,151
Reaction score
18,751
Kabla ya kitendo kilichowanyong'onyesha wafuasi wa chadema cha kufuta ukuta,bila sababu za kueleweka huku akiwa ametoa maagizo mazito ya kuchangishana pesa ambazo wameliwa,hakijapoa,,
Kamera za televisheni ya Azam,zimemmulika akiwa uwanja wa taifa,kapiga nne,akiongea kwa bashasha na Mwigulu Nchemba kama sio yeye alietoa amri ya kuwasusia wabunge wa ccm popote pale

Ushauri wangu
Chadema sio kila mnachoambiwa na viongozi wenu mnafuata mkumbo bila ya kupima
 
... Kama haufahamu Mbowe ni Yanga damu, na hata vikao vya kamat flan flan za yanga zinafanyikia kwenye hotel yake, afu acha kuleta upuuzi wako wa kiwango cha mwenda wazimu humu ndani, endelea kuangalia mpira kweny tv
 
Acha Shobo dundo ww, ongelea ya lumumba na bombernoah
 
Message ilifika mpaka utafiti uliochakachuliwa ukafanyika. Haiwezekani asili mia 85 ama 95 zikataka upinzani wanautaka na uruhusiwe kufanya kazi yake lakini asili 16 tu wawe ndiyo wameusikia. Na asili mia 9 tu eti ndiyo wako tayari kuandamana nchini.🙂 🙂 Haiwezekani
 
kiukweli nimewaunga sana mkono chadema mpka sasa kwa upuuz wa kuniangaisha akili yangu kila mwez bs nimeshawachoka
 
du! yaani lumumba hawakukupa hata hela ya kuingilia mpirani? nadhani hata hiyo azam-tv unaitizamia kwenye kibanda hasara. unaisoma nambaeee...pooleee!
 
Back
Top Bottom