GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,746
- 109,188
Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi amekemea vikali na kupiga marufuku tabia ya wanawake watu wazima, kuwaweka kinyumba vijana wenye umri mdogo.
Mgomi ameyasema hayo wakati akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Mtima, Ileje na kueleza kuwa taarifa zimemfikia kwamba vijana wengi wanaishi kinyumba na wanawake waliowazidi umri kwa sababu ya kufuata fedha.
Amesema hali hiyo inawafanya vijana kutojishughulisha na shughuli za kimaendeleo na kueleza kuwa jambo hilo ni kinyume na mila na tamaduni za Kitanzania.
Chanzo: globaltvonline
GENTAMYCINE nitashukuru nikijibiwa hilo Swali langu Kuntu nililoliuliza katika Kichwa changu cha Habari ( Headline ) ya Uzi huu.
Mgomi ameyasema hayo wakati akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Mtima, Ileje na kueleza kuwa taarifa zimemfikia kwamba vijana wengi wanaishi kinyumba na wanawake waliowazidi umri kwa sababu ya kufuata fedha.
Amesema hali hiyo inawafanya vijana kutojishughulisha na shughuli za kimaendeleo na kueleza kuwa jambo hilo ni kinyume na mila na tamaduni za Kitanzania.
Chanzo: globaltvonline
GENTAMYCINE nitashukuru nikijibiwa hilo Swali langu Kuntu nililoliuliza katika Kichwa changu cha Habari ( Headline ) ya Uzi huu.