kazuramimba
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 126
- 57
kiukweli haya maneno yana nichanganya tuna ambiwa kuwa kwa mjina ya kiafrica **** AU MBOO ndio neno sahihi lakini ukitamka mbele za watu unaambia umetukana.Pia kuna neno kama KUTOMBA ni lafudhi za kiafrika lakini leo hii yanaonekana ni tusi nashindwa elewa neno kama TIGO Nalo siku hizi halitamkwi hadharani kwa kweli tuna uwa lugha yetu.