Mbona siwaoni waoaji mwe!

Mbona siwaoni waoaji mwe!

Mbona 37 mbali sana huko....hapa nimekalia ofa mbili za warembo wa miaka 28 and 31 wanaomba niwape mbegu watalea wenyewe hao watoto. Ni vile tuu mie sitaki kukabana mashati baadae. Kwa kweli hali ni mbaya sana kwa warembo
Ninae mmoja ana 31 nae anahitaji huduma hio hio japo hajaja direct 😅 Ila nimejiongeza tayari namfariji tu ila maswala ya kupelekana ustawi sihitaji!
 
Ninae mmoja ana 31 nae anahitaji huduma hio hio japo hajaja direct 😅 Ila nimejiongeza tayari namfariji tu ila maswala ya kupelekana ustawi sihitaji!
Mambo magumu nakwambia maana wanaume tunakula mbususu na kisepa saasa wadada wanaona muda unaenda no ndoa no mtoto basi bora tupo lirutubishwe kidogo mambo ya ndoa weka pembeni.

Aisee kama yupo serious acha uchoyo bwana mpe mbegu hiyo. Unajua mpaka amefikia kuhit that ujue mwenzio maji yamemfika shingoni. Be a gentleman and just offer her that sperm🤣🤣🤣🤣
 
Mambo magumu nakwambia maana wanaume tunakula mbususu na kisepa saasa wadada wanaona muda unaenda no ndoa no mtoto basi bora tupo lirutubishwe kidogo mambo ya ndoa weka pembeni.

Aisee kama yupo serious acha uchoyo bwana mpe mbegu hiyo. Unajua mpaka amefikia kuhit that ujue mwenzio maji yamemfika shingoni. Be a gentleman and just offer her that sperm🤣🤣🤣🤣
Sina mbegu za mchezo bana😅
 
Ya wazazi na jamii yaliniponza mwenzio nikaangaika mwisho wa siku nikawatimizia yapivyonishinda nikasepa.Tafadhali jikaze nenda taratibu kule unakokimbilia hakuna jipya ukiharakia utapata ndoa yenye mateso.Please tulia ili umpate utakayempenda,na ukimpenda mtu usisite kumwambia dunia utandawaz sasa
Tatizo Mnataka wanaume wenye muonekano wa mutrah1, trey songz, Boris kodjoe, cristiano Ronaldo, Neymar, etc hao wanaume wanarepresent asilimia 8 ya wanaume wote utakaokutana nao, na wote Kama sio wengi wa hao hawataki commitment, sana sana watataka wakukule wakuache, wengi tuliopo ni sisi average Joe's mnaoturingia to yeye
 
SASA KILA MTU APAMBANE NA HALI YAKE, KWA SASA KUOA NI CHANZO CHA KUSHUSHA UMRI WA KUISHI MWANAUME.

KUNA VIDOLE NA MIDORI (IPO MADUKANI) TUMIENI HIZO, HATA STICK ZA MISHKAKI SAWA TU, TUMIENI HIZO
 
Mmejificha waaaaapiiii wajameni,mbona mnataka tuzeekeee tuuu bila huruma

Hebu mtuoe basi tumechoka mikelele ya wazazi
Hakuna kigezo wala masharti hapa,sibagui sichagui
Ila ukija na usiponioa oohoooo utakijua cha mtema kuni
Umekosea kusema eti unataka kuolewa ili kuepuka makelele ya wazazi. Nitakupa ushuhuda wangu binafsi. Mimi ni mwanaume. Nilipokuwa kidato cha sita nilikutana na hiyo mikelele kutoka kwa jamii akiwemo baba yangu mzazi eti kisa hawajawahi kuniona wala kusikia nina "mchuchu". Mimi sikujali mikelele ya mtu bali niliwaambia sentensi moja tu "kazeni roho,muda ukifika nitawaletea mwenza wangu kwa sasa ngoja kwanza nimfundishe kitchen party ya jinsi ya kuishi na mimi(kunihandle)". Mambo ni mengi lakini nimeona nifupishe ili nisiwachoshe.
 
Tatizo Mnataka wanaume wenye muonekano wa mutrah1, trey songz, Boris kodjoe, cristiano Ronaldo, Neymar, etc hao wanaume wanarepresent asilimia 8 ya wanaume wote utakaokutana nao, na wote Kama sio wengi wa hao hawataki commitment, sana sana watataka wakukule wakuache, wengi tuliopo ni sisi average Joe's mnaoturingia to yeye
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom