Mbona siwaoni waoaji mwe!

Mbona siwaoni waoaji mwe!

Ya wazazi na jamii yaliniponza mwenzio nikaangaika mwisho wa siku nikawatimizia yapivyonishinda nikasepa.Tafadhali jikaze nenda taratibu kule unakokimbilia hakuna jipya ukiharakia utapata ndoa yenye mateso.Please tulia ili umpate utakayempenda,na ukimpenda mtu usisite kumwambia dunia utandawaz sasa
 
Miaka pleas na cv ukiwa na picha uwe tayar kuja kweny interview kuna wenzio wanataka kuolewa pia
 
Ya wazazi na jamii yaliniponza mwenzio nikaangaika mwisho wa siku nikawatimizia yapivyonishinda nikasepa.Tafadhali jikaze nenda taratibu kule unakokimbilia hakuna jipya ukiharakia utapata ndoa yenye mateso.Please tulia ili umpate utakayempenda,na ukimpenda mtu usisite kumwambia dunia utandawaz sasa

Ushauri mzuri huu ndagha nkamu,uli na mahala.

Mtu anaolewa kwa presha ya wazazi,mwisho wa siku ni majuto.
Ni heri kutulia,mtu sahihi atakuja tu wakati ukifika.
 
Ya wazazi na jamii yaliniponza mwenzio nikaangaika mwisho wa siku nikawatimizia yapivyonishinda nikasepa.Tafadhali jikaze nenda taratibu kule unakokimbilia hakuna jipya ukiharakia utapata ndoa yenye mateso.Please tulia ili umpate utakayempenda,na ukimpenda mtu usisite kumwambia dunia utandawaz sasa
Njoo nikutute machozi
 
Ya wazazi na jamii yaliniponza mwenzio nikaangaika mwisho wa siku nikawatimizia yapivyonishinda nikasepa.Tafadhali jikaze nenda taratibu kule unakokimbilia hakuna jipya ukiharakia utapata ndoa yenye mateso.Please tulia ili umpate utakayempenda,na ukimpenda mtu usisite kumwambia dunia utandawaz sasa
Umeshauri kitu muhimu sana lakini, wanawake ambao wapo kwenye desperate time ni ngumu sana kukuelewa sijui shida ni nini
 
Hahahaa. Ako kamstari ka mwisho kabisa usishangae ndo ukawa umewakimbiza.

Sababu wengi wanakujaga kwanza halafu wazo la kuoa au wasioe linawajiaga wakiwa ndani ya hayo mahusiano.
Inatakiwa wafanyeje sasa
 
Hahahahahah watoto wengi wa kike this time around wako 30’s wana desperate ya abuja! Wanataman kuolewa kichizi wanasumbuliwa na wazazi wao wazae 😅😅😅
Hao ni wazazi wapuuzi. Utaruhusuje binti hata kama ni 40 year azae bila ndoa? Tunakataa usingle maza kwa hali yoyote ile
 
Back
Top Bottom