Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Pamoja sana ndugu yangu na hii napenda isizidi mwez wa NNE labda tusipate mwolewaji tuIkiwadia utanambia ndugu yangu sina kipingamizi.
Pamoja sana ndugu yangu na hii napenda isizidi mwez wa NNE labda tusipate mwolewaji tuIkiwadia utanambia ndugu yangu sina kipingamizi.
Mtema kuni ana kitu gani?Mmejificha waaaaapiiii wajameni,mbona mnataka tuzeekeee tuuu bila huruma
Hebu mtuoe basi tumechoka mikelele ya wazazi
Hakuna kigezo wala masharti hapa,sibagui sichagui
Ila ukija na usiponioa oohoooo utakijua cha mtema kuni![]()
Tusubiri tuone ndugu yangu.Pamoja sana ndugu yangu na hii napenda isizidi mwez wa NNE labda tusipate mwolewaji tu
Njoo mkuu tunakusubiriNgoja nijipange nije na vijana wangu
Sawa nduguTusubiri tuone ndugu yangu.
Tayar wamesema kesho wanatia timuNjoo mkuu tunakusubiri
Ahsante sana kwa offer ila kuwa mke mwenza hapana aisee, huu wivu nilionao si mchezo🤔Hamna haja ya kusubiri kupewa pasi nipo muoaji ila ukubali ukewenza.
Sawa sawa waje tuTayar wamesema kesho wanatia timu
Location kabisa ili tusipotee mjini kwenuSawa sawa waje tu
Alhamdulillah.Mie Alhamdulillah naendelea vyema Kaka yangu. 🙏🙏 Nawe natumai uko vizuri pia.
Kuna wakati ukifika huwa inabidi tu Kaka mana miaka nayo inasonga.Alhamdulillah.
Watu wanatafuta ndoa dada umewaona?
Duh! Kumbe kuna issue ya wakati??!!!!Kuna wakati ukifika huwa inabidi tu Kaka mana miaka nayo inasonga.
Hapa kikubwa wenye nia wajitokeze kwa wingi ili apatikane wa kukidhi haja ya mleta uzi.
Hahahaaa. Lol.Duh! Kumbe kuna issue ya wakati??!!!!
Sasa inakuwaje mabinti wanacheza na wakati??