Dumuzii
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,601
- 8,687
Hakuna mtoto wa kike mgumuNimekuwa mgumu kama jiwe...ni nyege tu hunisumbua sometimes
Hakuna mtoto wa kike mgumuNimekuwa mgumu kama jiwe...ni nyege tu hunisumbua sometimes
NakusalimiaYa wazazi na jamii yaliniponza mwenzio nikaangaika mwisho wa siku nikawatimizia yapivyonishinda nikasepa.Tafadhali jikaze nenda taratibu kule unakokimbilia hakuna jipya ukiharakia utapata ndoa yenye mateso.Please tulia ili umpate utakayempenda,na ukimpenda mtu usisite kumwambia dunia utandawaz sasa
Dada nakusalimiaaanakusalimiaaaHahahaa. Ako kamstari ka mwisho kabisa usishangae ndo ukawa umewakimbiza.
Sababu wengi wanakujaga kwanza halafu wazo la kuoa au wasioe linawajiaga wakiwa ndani ya hayo mahusiano.
DuuuuhWakati ni ukutaringeni mkifika 37 mtakubali kuzaa na kulea kwa gharama zenu wenyewe
![]()
Hii comment kina dada wameipita kimya kimya.Eeh kwani kina Aunt Ezekiel kiko wapi leo? Walidanga sana ila inafikia umri flani wanakuja kusanuka yale sio maisha. Kuna mapungufu makubwa wako nayo!
Akicheki kashagonga 34 halafu hana mtu wa kueleweka. Hana mwanaume ambaye atamuita mumewe 😅 wenzake marika yake wote washaolewa usichana ushaanza kumtupa mkono hapo ndipo wanapojibidiisha kuzaa na wale walioko available hakuna room ya kuchagua chagua tena.
Nipo wanguNakusalimia
Habari za mbeya?? Bado upo huko?Nipo wangu
Boda nipo mbeyaHabari za mbeya?? Bado upo huko?
Ngoja nijipange nije na vijana wanguPlease ukipata wengi nipasie pia mkuu kuku![]()
Miss youHuu uzi umekaa kibabe sana![]()
Mi niko Jiran na mbeya nilete barua?Boda nipo mbeya
MmmmhNimekuwa mgumu kama jiwe...ni nyege tu hunisumbua sometimes
MmmmhMpaka Sasa wamepatikana wangapi..iko pasia Mimi moja ile shabaaab
Mbona najikuta naridia rudia kusoma hii comment yako whyNimekuwa mgumu kama jiwe...ni nyege tu hunisumbua sometimes
Mbona 37 mbali sana huko....hapa nimekalia ofa mbili za warembo wa miaka 28 and 31 wanaomba niwape mbegu watalea wenyewe hao watoto. Ni vile tuu mie sitaki kukabana mashati baadae. Kwa kweli hali ni mbaya sana kwa waremboWakati ni ukuta 😅 ringeni mkifika 37 mtakubali kuzaa na kulea kwa gharama zenu wenyewe😅
Labda barua ya kuruhusiwa kunitafuna bila bughza...ila siyo kuolewa mkuuMi niko Jiran na mbeya nilete barua?
Kichwa cha chini ndo kilipokwamia mkuuMbona najikuta naridia rudia kusoma hii comment yako why