Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,133
- 122,589
Lol.Naku-spare Leo dada hahahahaa
😎😎😎😎😎
Lol.Naku-spare Leo dada hahahahaa
😎😎😎😎😎
Hahahaaa. Lol.Huwa natamani sana kukuuliza ila naogopaga. Wewe tayari?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kuna uwezekano mkubwa Wataishia kuzalishwa nyumbani kwao bila Kutolewa mahari, kufanyiwa harusi na kuwekwa ndani Kama mke, siwaombei hivyo, ila nkiangalia aina ya wanaume tuliopo hapa kijijini, 95% ya wanaume vijana ni hopeless kabisa, watafuna mirungi, kula kulala kwa wazazi, walevi na wavuta bangi, washinda vijiweni to yeye kinywanyukukwani wanaume wanaohitaji kuoa kweli hawapo? me naonaga masihara tu
😂😂 haya nakuja mkuuNjoo dm sitaki maswala ya vigezo nimezeeka ila abdala anafanya kz sawia
Huu ujumbe uliandikwa saa 5 na dk 14 usiku. Ulikuwa tu upo kwa siku zako nzuri, ukamiss haja za mwili wako, ukahisi umemiss ndoa. Damu yenuewe ilikuwa ishahama kichwani imehamia maeneo mengine ili kupisha ubongo uruhusu kusinzia.Mmejificha waaaaapiiii wajameni, mbona mnataka tuzeekeee tuuu bila huruma
Hebu mtuoe basi tumechoka mikelele ya wazazi. Hakuna kigezo wala masharti hapa,sibagui sichaguiIla ukija na usiponioa oohoooo utakijua cha mtema kuni
![]()
anadai kigezo ni uwe unapumua tu😅Weka vigezo tuone Kama tunaweza kukaa
Ndo bas tenaKuna uwezekano mkubwa Wataishia kuzalishwa nyumbani kwao bila Kutolewa mahari, kufanyiwa harusi na kuwekwa ndani Kama mke, siwaombei hivyo, ila nkiangalia aina ya wanaume tuliopo hapa kijijini, 95% ya wanaume vijana ni hopeless kabisa, watafuna mirungi, kula kulala kwa wazazi, walevi na wavuta bangi, washinda vijiweni to yeye kinywanyuku
isolate tamaa wapo tuNdo bas tena
Ujue unanifanyia kusudi weweSawa mkuu
Avatar yako mkuu,inakukosesha wageniUjue unanifanyia kusudi wewe
Usiogope cover ya kitabuAvatar yako mkuu,inakukosesha wageni
Mbeya nzima hakuna sehemu napapenda kama Uyole, huwa naona pamechangamka sana.Uyole
Karibu tenaMbeya nzima hakuna sehemu napapenda kama Uyole, huwa naona pamechangamka sana.
Kila nikienda Mbeya lazima nikacheze disko pale Universal Pub, karibu na mizani.
Nitakaribia, halafu nitakushtua, si eti?Karibu tena
Ndo mpangoNitakaribia, halafu nitakushtua, si eti?
Poa, nikitia maguu tu Green City, breki ya kwanza Uyole, halafu nakushtua.Ndo mpango
Poa kamanda akePoa, nikitia maguu tu Green City, breki ya kwanza Uyole, halafu nakushtua.
Nimecheka Sana..Kwani ujana ulikula na Nani?Kila mtu atakula alipo peleka mboga