senzoside
Senior Member
- Mar 13, 2012
- 183
- 31
Wiki zilizopita iliibuka mijadala mingi ooooh ajira za waalimu zimesitishwa, ooooh walimu wa arts hawataajiriwa, oooh ajira za waalimu ni mpaka mwaka mpya wa fedha, oooh serikali haina fedha kuajiri walimu wapya hela yote imeenda kwenye bunge la katiba. Mbona siku hizi siwasikii au wanaowatuma wamekataa kuwafadhili ili nn au kulikoni jamani