Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Kwa nini shule za binafsi zinazoongozwa na taasisi za kidini hazina ada kubwa? Ni lipi wanalofanya tofauti na hizi nyingine za bianafsi zinazotoza mamilioni ya ada kwa Wazazi na walezi?
Kama wamiliki wa shule binafsi hawawezi kutoza Ada inayoelekezwa na Serikali basi wafunge shule zao, kuna wadau wengi sana zikiwemo taasisi za kidini ambao wako tayari kutoa huduma ya Elimu kwa WatanZania kwa ada elekezi ya Serikali, kumbukeni kwamba nchini TanZania Elimu ni huduma kwa Jamii na siyo Biashara ya kupata faida, hivyo kama mlitaka kupata faida kuna biashara nyingine nyingi mnaweza kuwekeza mamilioni yenu badala ya kwenye shule kama kujenga viwanda vidogo vya uzalishaji, kufungua super market, au hata kujenga bwawa la kuogelea na kutoza waogeleaji lkn siyo kwenye Elimu, nchi yetu hairuhusu huwo mfumo!
Kama wamiliki wa shule binafsi hawawezi kutoza Ada inayoelekezwa na Serikali basi wafunge shule zao, kuna wadau wengi sana zikiwemo taasisi za kidini ambao wako tayari kutoa huduma ya Elimu kwa WatanZania kwa ada elekezi ya Serikali, kumbukeni kwamba nchini TanZania Elimu ni huduma kwa Jamii na siyo Biashara ya kupata faida, hivyo kama mlitaka kupata faida kuna biashara nyingine nyingi mnaweza kuwekeza mamilioni yenu badala ya kwenye shule kama kujenga viwanda vidogo vya uzalishaji, kufungua super market, au hata kujenga bwawa la kuogelea na kutoza waogeleaji lkn siyo kwenye Elimu, nchi yetu hairuhusu huwo mfumo!