Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,993
Hizi nafasi za Uwaziri zinatolewa kwa upendeleo au ukipata kama zali? Mbunge wa zamani Jimbo la Mikumi na Msanii mkongwe wa Hip-Hop Joseph Haule (professor Jay), alihudumia Bunge kwa miaka mitano ila hakupewa hata Uwaziri.
Kama sifa walizotumia kumpa Uwaziri Mwana FA mbona Professor Jay alikuwa nazo?
Kama sifa walizotumia kumpa Uwaziri Mwana FA mbona Professor Jay alikuwa nazo?