Mbona pesa ndogo mtaani zinazidi kuadimika vipi huko kwenu hali ipoje?

Nyavinene

Senior Member
Jul 28, 2020
164
173
Habari wadau!

Ni zaidi ya wiki moja sasa nipo Tanzania. Nilipitia huku mpaka wa Sirari kutokea Kenya nikaka mkoa wa Mara Kama siku 3. Kisha nikaenda Mwanza kwa siku 2. Ila saivi nipo Tabora kikazi ila cha kushangaza kila nikienda madukani kwa ajili ya kununua mahitaji Kama vile chakula na vingine huwa inatokea shida ya cheji kwa pesa hizi ambazo tumezizoea.

Kwa hii bila shaka napata majibu Kama haya: nchi ipo ktk hali mbaya ya uchumi, thamani ya sarafu yetu itashuka hivi Karibuni, na hakuna mzunguko wa pesa mtaani.

Naomba kuwasilisha ila Kama una mayai ya bundi bado niendelea kununua na saivi nipo Tanzania
 
Hivi ukitokea Nyayo na ukavuka kuja Tz, napo inakuanga mijisifa ehhhh....
 
Sio lazima mtu upost kila mada inayokujia kichwani,sasa kama mleta mada huyu ndo ameandika nini wajameni,hata kama ni uhuru wa kuandika na simu,mb ni zako lakini mtu angalau alete mada zenye akili.
 
Sio lazima mtu upost kila mada inayokujia kichwani,sasa kama mleta mada huyu ndo ameandika nini wajameni,hata kama ni uhuru wa kuandika na simu,mb ni zako lakini mtu angalau alete mada zenye akili.
Lazima tuseme ukweli bila kujali itikadi ya chama
 
Watu wamepunguza matumizi ya hovyo, watu wengi wanatunza na kuwekeza sana siku hizi.Pesa zinazotumika bila mpango zimepungua sana.
 
Elimu elimu elimu

Hela ndogo ndogo zipo kwenye matawi ya mabenki ambayo nayo yanafanya kazi na BOT

Ni wafanyabiashara kukosa elimu kuwa inatakiwa wawe wanaandaa change kwa kwenda kubadilisha hela benki kila inapohitajika
 
Elimu elimu elimu

Hela ndogo ndogo zipo kwenye matawi ya mabenki ambayo nayo yanafanya kazi na BOT

Ni wafanyabiashara kukosa elimu kuwa inatakiwa wawe wanaandaa change kwa kwenda kubadilisha hela benki kila inapohitajika
Bora umetoa wazo la kuelimisha mkuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom