toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Leo tuzungumze maisha katika nyumba za kupanga kwako hali ipoje na matumizi ya umeme?
Mpo wapangaji wangap?
Mita ya kushea mnatoa na kununua umeme wa shs ngap kwa mwezi
Ukaaji wa umeme je?
Tupeane uzoefu kidogo
Sisi nilipopanga tupo 7
Wanne wanakaa nyumba ya mwanzo ambapo ni vyumba vya ndani
Sisi watatu tunakaa nyumba zinazofuatia umbali kidogo sisi sio vyumba vya ndani ni nyumba tatu, moja ipo na room moja master imejitenga, nyingine ya master imeunganika na nyingine kama nyumba kabisa ya vyumba viwili hapa ni raha maana kila mtu na maisha yake, kila mtu ana upande wake wa kuanikia nguo, kufua yaani kijieneo cha nje kila mtu ana chake so hakuna interaction kwa sisi watatu wale wanne mule ndo wana interaction maana wao ni vyumba vya ndani
Kuhusu umeme tunashea, japo sisi watatu humu itafika wakati tutakua na umeme wa peke yetu
Umeme hapa tunanunua wa elfu kumi kwa mwezi kila mtu anatoa tunanunua kwa pamoja watu 7 units 196 ila hukaa siku 20, 22 au 25 ukikaa sana ni siku 26
Hapa hakuna usumbufu wa umeme sana, kulala gizani ni nadra sana kwa sasa japo before ilikua inatokea unaisha unakuta unaisha haraka watu wanaanza kunung'unika itapita hiyo siku 2nd day watanunua tu....
Nyumba za kupanga mnatumiaga units ngapi? Hali ipoje kwako mwanajf mwenzangu?
Mpo wapangaji wangap?
Mita ya kushea mnatoa na kununua umeme wa shs ngap kwa mwezi
Ukaaji wa umeme je?
Tupeane uzoefu kidogo
Sisi nilipopanga tupo 7
Wanne wanakaa nyumba ya mwanzo ambapo ni vyumba vya ndani
Sisi watatu tunakaa nyumba zinazofuatia umbali kidogo sisi sio vyumba vya ndani ni nyumba tatu, moja ipo na room moja master imejitenga, nyingine ya master imeunganika na nyingine kama nyumba kabisa ya vyumba viwili hapa ni raha maana kila mtu na maisha yake, kila mtu ana upande wake wa kuanikia nguo, kufua yaani kijieneo cha nje kila mtu ana chake so hakuna interaction kwa sisi watatu wale wanne mule ndo wana interaction maana wao ni vyumba vya ndani
Kuhusu umeme tunashea, japo sisi watatu humu itafika wakati tutakua na umeme wa peke yetu
Umeme hapa tunanunua wa elfu kumi kwa mwezi kila mtu anatoa tunanunua kwa pamoja watu 7 units 196 ila hukaa siku 20, 22 au 25 ukikaa sana ni siku 26
Hapa hakuna usumbufu wa umeme sana, kulala gizani ni nadra sana kwa sasa japo before ilikua inatokea unaisha unakuta unaisha haraka watu wanaanza kunung'unika itapita hiyo siku 2nd day watanunua tu....
Nyumba za kupanga mnatumiaga units ngapi? Hali ipoje kwako mwanajf mwenzangu?