Mahakamaccm, Polisiccm, majajiccm, DPPccm hawafanyi kazi kwa mjibu wa sheria bali wanafanya kazi kwa mjibu wa Amri haramu za kishetani toka kwa ibirisi wa ccmSijui Sheria lkn nikana kwamba hakimu anaendeshwa. DPP anaamua anachotaka halafu kinakubaliwa.
Baaasi
Wanasheriaccm hawajui sheria na wengi wamejitoa fahamu hawafanyi kazi kwa mjibu wa sheria bali ni kwa Amri haramu ya kishetani toka kwa ibirisi wa ccmWrite your reply...lissu ana kipaji cha ubishi na kuongea ndio kinachowapumbaza wengi wakidhani yeye ndio bingwa wa sheria nchini
Kwa nini na wewe usifunge na kuomba ubarikiwe hicho kipaji?Write your reply...lissu ana kipaji cha ubishi na kuongea ndio kinachowapumbaza wengi wakidhani yeye ndio bingwa wa sheria nchini
Ndio maajabu ya Bongo. Mahakama hazijatambui, kama ni muhimili wa kutenda Haki na wakutafsiri sheriaSijui Sheria lkn nikana kwamba hakimu anaendeshwa. DPP anaamua anachotaka halafu kinakubaliwa.
Baaasi
ni kwa kiasi gani mahakama zetu ziko huru. kujua hilo mwangalie mwenzake Bunge shithole countries zinaboa sanaSijui Sheria lkn nikana kwamba hakimu anaendeshwa. DPP anaamua anachotaka halafu kinakubaliwa.
Baaasi
Umesikia akiyasema hayo, au ni wewe umeona uyawasilishe kwa niaba yake.Write your reply...lissu ana kipaji cha ubishi na kuongea ndio kinachowapumbaza wengi wakidhani yeye ndio bingwa wa sheria nchini
Ubingwa wa sheria ni kua mbishi wenyepoint ndiyo maana wakati mwingine wale watu wenye akili nyingi huwa wanafelishwa ili wasiwe mawakili wakampotosha jajiWrite your reply...lissu ana kipaji cha ubishi na kuongea ndio kinachowapumbaza wengi wakidhani yeye ndio bingwa wa sheria nchini
Ndio maanda tunasema No Reforms No electionsSijui Sheria lkn nikana kwamba hakimu anaendeshwa. DPP anaamua anachotaka halafu kinakubaliwa.
Baaasi
Inaendeshwa na mwenyekiti wa CCMSijui Sheria lkn nikana kwamba hakimu anaendeshwa. DPP anaamua anachotaka halafu kinakubaliwa.
Baaasi
DPP ndiye anaidhinisha shitaka kisha anamkabidhi jaji kulitafsiri na kutoa hukumu, jaji hawezi kuandaa shitaka.Sijui Sheria lkn nikana kwamba hakimu anaendeshwa. DPP anaamua anachotaka halafu kinakubaliwa.
Baaasi
Kwanza wewe si mfuatiliaji wa kesi bali unasikia kutoka kwa wafuatiliaji wakiongea, wewe uwanja wako unaishia kwenye Simba na Yanga na uchambuzi koko wa mpira.Write your reply...lissu ana kipaji cha ubishi na kuongea ndio kinachowapumbaza wengi wakidhani yeye ndio bingwa wa sheria nchini
Lissu mtaalam wewe hapo bungeni unakumbuka kipindi cha Ana makinda tulilala saa9 kwa ajili ya kutunga sheria?Write your reply...lissu ana kipaji cha ubishi na kuongea ndio kinachowapumbaza wengi wakidhani yeye ndio bingwa wa sheria nchini
Kwenye hii ya Lissu DPP hahusiki,Sijui Sheria lkn nikana kwamba hakimu anaendeshwa. DPP anaamua anachotaka halafu kinakubaliwa.
Baaasi