permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 10,026
- 11,220
Toa hiyo mifanoAmekandamizwa sana
Toa hiyo mifanoAmekandamizwa sana
Ipo Mingi mbona ingia usomeToa hiyo mifano
Ipo Mingi mbona ingia usomeToa hiyo mifano
Esta alitumia advantage ya uanamke.........kwa mazingira ya sasa ni kama wale wake............Amekandamizwa sana
Esta alitumia advantage ya uanamke.........kwa mazingira ya sasa ni kama wale wake............
Yaaani nmecheka sanaaaana! ASANTE SANA KWA KUNIBURUDISHANi agizo kutoka juu.
Kwa hiyo kile chuo cha Morogoro kinafundisha hivyo? Nimegaili kumpeleka mwananguquran imeandika wanawake wakileta ujinga wapigwe
Kilichowaponza wanawake cha kwanza kabisa ni maumbile yao particulary ile hali ya ku bleed,secondly ni yale yanayoendelea faragha kati ya mwanamke na mwanaume,Mara kuinamishwa,Mara kuingiziwa vidole etc. Kuna vitu vingi Sana vimemdhalilisha mwanamke tangu kuumba kwa dunia....ambavyo vimerithiwa na vizazi na vizazi. SAMAHANI KWA MANENO MAKALI YENYE UKWELIWanawake sijui walikwama wapi kwa kweli.
Nyakati za Yesu hata kwenye sensa wanawake hawakuwa wanahesabiwa Kama watu.
Hata Marekani hajapita hata karne moja tangu waruhusiwe kupiga kura.
Hadi wamasai nao wanawafanyia hivyo wamawake zao?Kilichowaponza wanawake cha kwanza kabisa ni maumbile yao particulary ile hali ya ku bleed,secondly ni yale yanayoendelea faragha kati ya mwanamke na mwanaume,Mara kuinamishwa,Mara kuingiziwa vidole etc. Kuna vitu vingi Sana vimemdhalilisha mwanamke tangu kuumba kwa dunia....ambavyo vimerithiwa na vizazi na vizazi. SAMAHANI KWA MANENO MAKALI YENYE UKWELI
Kama Ni mkristo wa Kweli na unasoma Biblia basi utaona kuwa wanawake wamedharauliwa kwenye Biblia kuliko Quranangalau kidogo ukristo, lakini kule kwingine wamezidi sana
Sure! Na wanaamini anatakiwa achungwe kwa ukaribu ukilemaa analiwa faster tuu,ndo maana ni marufuku kwenda sokoni kila kitu kimkute ndani. HIVI MCHUNGAJI WA KIKE ANAWEZAJE KUINGIA KWENYE MAJI KUMBATIZA MTU KWA WALE WANAOAMINI UBATIZO WA MAJI MENGI WAKATI HUO AKIWA ANA BLEED.Wenyewe wanasema the only thing mwanamke anaweza provide in relationship is Sex
Yaani nmeshindwa hata nijibu nini!!!!Hadi wamasai nao wanawafanyia hivyo wamawake zao?
kwani wewe unataka kuoa mwanamke aliyeolewa? Wamevuruga wenzako nawe uende pale? Hata kwa mwanamume, si vema mwanamke kuolewa na mwanamume aliyeachika...Kama Ni mkristo wa Kweli na unasoma Biblia basi utaona kuwa wanawake wamedharauliwa kwenye Biblia kuliko Quran
Mfano katika Biblia Ni dhambi kumuoa mwanamke aliachika, wakati Uislam ni haki kwa mwanamke kuomba talaka na sio dhambi kama ataolewa tena
Biblia inasema Kuwa mwanamke alueolewa akaachika Ni dhambi kuolewa Tena,ni dhambi kufanya nae tendo la ndoa..habari ndio hiyo utake usitake..kwani wewe unataka kuoa mwanamke aliyeolewa? Wamevuruga wenzako nawe uende pale? Hata kwa mwanamume, si vema mwanamke kuolewa na mwanamume aliyeachika...
Nimejiuliza tu mwenyewe hivi kwa nini mfano umfumanie mwanamke(mke)chumbani anabanjuana na house boy au mdogo wako au rafk yako,ni rahisi zaidi kuachana na huyo mwanamke tofauti na yeye akikufumania na watu wa aina hiyo?Kama Ni mkristo wa Kweli na unasoma Biblia basi utaona kuwa wanawake wamedharauliwa kwenye Biblia kuliko Quran
Mfano katika Biblia Ni dhambi kumuoa mwanamke aliachika, wakati Uislam ni haki kwa mwanamke kuomba talaka na sio dhambi kama ataolewa tena
Biblia inasema Kuwa mwanamke alueolewa akaachika Ni dhambi kuolewa Tena,ni dhambi kufanya nae tendo la ndoa..habari ndio hiyo utake usitake..
Biblia haikusema Kuwa mwanamme alieowa akaacha haruhusiwi kuowa tena..
Hapa bongo kuna jamaa kutoka hifadhi ya burigi kila akihutubia umati wa watu lazima atoe kauli za ukakasi dhidi ya wanawake....Janet ana kazi sanakwa waarabu sijui ila hapa bongo ukiniuliza ntakujibu
Hiyo ya kwanza ni sawa yaani jukumu la mwanamke kuzaa na kulea watoto ni mzigo na kiunzi kikubwa kinachompunguzia usawa na mwanaume....ndio maana mwanamke anategemea extra support kutoka kwa mwanamume.Kilichowaponza wanawake cha kwanza kabisa ni maumbile yao particulary ile hali ya ku bleed,secondly ni yale yanayoendelea faragha kati ya mwanamke na mwanaume,Mara kuinamishwa,Mara kuingiziwa vidole etc. Kuna vitu vingi Sana vimemdhalilisha mwanamke tangu kuumba kwa dunia....ambavyo vimerithiwa na vizazi na vizazi. SAMAHANI KWA MANENO MAKALI YENYE UKWELI
Luka 16:18,Matayo 5:32ebu nipe wapi pameandikwa hivyo please, usitunge UONGO
We jibu tu mkuu.Yaani nmeshindwa hata nijibu nini!!!!