Maziku-Winston Smith
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 296
- 167
Evils ni wale wote wanaowanyanyasa binadamu wenzao aidha wawe wanawake au wanaume kwa kisingizio cha nature au dini.Unauliza tatizo ni Nini? Waarabu wapo sahihi Sana na hivo ndivo Mungu anavotaka. Hawa wanaoleta usawa wa kijinsia ni evils na against nature.
Eti evils against nature. Kwa hiyo wewe uliingia dili na nature muamue mahusiano kati ya watu yaweje?