Mbona Mnazidi kunichanganya?? Nani mmiliki?

Mbona Mnazidi kunichanganya?? Nani mmiliki?

Jiulize why baadhi ya waarabu waliuza kwa cash ardhi zao and then wanadai warejeshewe?
na hiyo ishu ya mpalestina na muisraeli kuhusu ardhi nadhani ina nafasi yake kwenye vita ya pili ya dunia walicheza karata moja nzuri sana hawa jama mpaka wakapata hiyo ardhi
 
Lakini ukimuomba ana deliver
It's placebo effect and cognitive dissonance on the part of a hopeless hoi polloi.

Angekuwa ana deliver kutokana na maombi Nyerere asingefariki. Aliombewa na nchi nzima.

As a matter of fact, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo, kungekuwa hamna kifo.

Kwa nini Mungu mwenye upendo hivyo awatenganishe mume na mke, mtoto na mzazi, rafiki na rafiki, kwa kifo?
 
It's placebo effect and cognitive dissonance on the part of a hopeless hoi polloi.

Angekuwa ana deliver kutokana na maombi Nyerere asingefariki. Aliombewa na nchi nzima.

As a matter of fact, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo, kungekuwa hamna kifo.

Kwa nini Mungu mwenye upendo hivyo awatenganishe mume na mke, mtoto na mzazi, rafiki na rafiki, kwa kifo?
We are in this earth temporarily and everyone and each of us is here in this earth for a purpose. Nyerere had already fulfilled his purpose and was called back to heaven even though we loved him so much.
Jesus was able to escape a sorrowful death but that was his purpose of coming to this earh.
St Paul was chosen for a purpose and he died after finishing his assignment.
 
We are in this earth temporarily and everyone and each of us is here in this earth for a purpose. Nyerere had already fulfilled his purpose and was called back to heaven even though we loved him so much.
Jesus was able to escape a sorrowful death but that was his purpose of coming to this earh.
St Paul was chosen for a purpose and he died after finishing his assignment.
Jibu lako halijajibu swali langu, kwa nini Mungu mwenye mapenzi anawafanyia ukatili ndugu jamaa na marafiki wa watu wanaofariki?

Alishindwa kufanya huo uumbaji wake bila kutenganisha wapendanao?

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo au unatumia tu habari za kusema Mungu ana mpango wake kuficha ukweli kwamba Mungu hayupo?
 
Jibu lako halijajibu swali langu, kwa nini Mungu mwenye mapenzi anawafanyia ukatili ndugu jamaa na marafiki wa watu wanaofariki?

Alishindwa kufanya huo uumbaji wake bila kutenganisha wapendanao?
Muda wako ukifika unaondoka
 
Muda wako ukifika unaondoka
Kwa sababu Mungu hayupo, si kwa sababu Mungu yupo.

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote angekuwepo, angezuia kifo kisitenganishe viumbe wake anaowapenda.

Hayupo, ndiyo maana tunakufa.
 
Kwa sababu Mungu hayupo, si kwa sababu Mungu yupo.

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote angekuwepo, angezuia kifo kisitenganishe viumbe wake anaowapenda.

Hayupo, ndiyo maana tunakufa.
‘Tis kufa kwasababu haya simmskazo yetu. Tunarudi nyumbani
 
‘Tis kufa kwasababu haya simmskazo yetu. Tunarudi nyumbani
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote asingeruhusu mabaya sehemu yoyote.

Mabaya yanawezekana hapa duniani.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Hizo habari za mbinguni sijui nyumbani kwetu ni uzushi uliotungwa na watu. Ndugu yako akifa ujipe moyo utaonana naye mbinguni, wakati hakuna ushahidi wowote kwamba Mungu yupo na mbingu ipo.

Hujathibitisha Mungu yupo.
 
Siku zote mi sitaki kubishana na Mungu
Alishasema wapalestina ni watumwa tu kwa israel na itaendelea kuwa hivyo mpaka mwisho wa dahari
Mungu sasa anaitumia marekani kuilinda israel na mji wake mkuu wa jerusalemu
Mna mungu wa ajabu kabisa kuwahi kutokea, yaani mateso yote yale wanayopata wapalestina kumbe ni sababu ya huyo mungu wenu?!!
 
Mna mungu wa ajabu kabisa kuwahi kutokea, yaani mateso yote yale wanayopata wapalestina kumbe ni sababu ya huyo mungu wenu?!!
Mungu kaandikwa na Wayahudi katika jitihada zaokutawala watu, ndiyo maana katika kumtunga huko wakamfanya awafanye taifa teule.

Mungu gani anabagua watu kwa mafungu, hawa Wayahudi taifa teule, nyie Wazigua nawapotezea tu?
 
Mungu kaandikwa na Wayahudikatikajitihada zaokutawala watu, ndiyo maana katika kumtunga huko wakamfanya awafanye taifa teule.

Mungu gani anabagua watu kwa mafungu, hawa Wayahudi taifa teule, nyie Wazigua nawapotezea tu?
Ni ajabu kweli kweli, na ni huku afrika ndo bado wengi tunaamini kwa dhati huo usanii wao.
 
Mkifuatilia Arabs kwao ni wapi issue za Arabs palestina zinasitishwa siku hiyo hiyo.... Arabs are coming from Arabian Peninsula. Period
 
hayo ma historia yenu ya kutunga yanachanganya sana-sasa kwa maeleo yako kama huyo ibrahim alikuwa mwarabu na akamzaa huyo yakobo (israel) naye MWARABU sasa inakuwaje hawa waisael wa sasa hivi wawe WAZUNGU??.
Nan kakuambiaga Ibrahim mwarabu na nan kakuambiaga kuwa waisrael n wazungu
 
UFALME WA MBINGUNI UNATEKWA NA WENYE NGUVU!
That’s all
 
Mleta mada umekosea data, Ule mgawanyo wa UN wa mwaka 1948 uliwapa Wayahudi ardhi kubwa zaidi kuliko wapalestina wakati kipopulation wao walikuwa wachache zaidi na Wapalestina walikuwa wengi, hii ilikuwa sababu mojawapo ya wapalestina kukataa.( Unaweza kugoogle ukaona)
Halafu pia imagine watu watoke huko Ulaya waje katika nchi yako, then igawanywe wewe upewe sehemu ndogo yeye apewe kubwa!
 
Kweli mkuu! sio kwamba wapalestina wana haki tu ya kudai ardhi yao! Kama sheria zikitumika wayahudi wanatakiwa waondoke upesi eneo lile tena wawalipe wapalestina fidia kubwa kwa kuwasumbua miaka yote na kuua watu wao.

Kila nwenye kusimamia haki lazima asimame na wapalestina
wapalestina ni uzao wa ibrahim na wayahudi pia. Pale ni kwao wote. Wanatakiwa waishi wote pale. Maana hata Yesu aliwaambia wakae wote kwa amani
 
Mleta mada kanichosha na uzi usio na vituo wala mpangilio nikapiga moyo konde labda chini nitakutana na summary!.
Ukauquote uzi wote na wewe halafu ukaandika na mengine ya kwako!.
Nimechoka kuisoma hii nyuzi kwakweli!.
Na mie nawachosha wanaokuja sasa!.
Ukisoma huu uzi wangu najua utachoka wewe unayefata!.
Lakini jamani tujifunze kuandika kwa vituo na aya.
Halafu tuache kupenda quote uzi mzima, tunaotumia cm tunahangaika.
Poleni
Update app yako ya JF bro hii kero huto ipata tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom