Hakujawahi kutokea Taifa la Palestina duniani

Hakujawahi kutokea Taifa la Palestina duniani

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
9,177
Reaction score
7,705
HISTORIA NDOGO KWA WALE WANAOZUNGUMZIA KUHUSU "KUREJESHA UPALESTINA."

1. Kabla ya Israeli, kulikuwa na mamlaka ya Uingereza, si taifa la Palestina.

2. Kabla ya Mamlaka ya Uingereza, kulikuwa na Milki ya Ottoman, si taifa la Palestina.

3. Kabla ya Milki ya Ottoman, kulikuwa na taifa la Kiislamu la Mamluk wa Misri, si taifa la Palestina.

4. Kabla ya taifa la Kiislamu la Mamluk wa Misri, kulikuwa na Milki ya Kiarabu na Kikurdi ya Ayubid, si taifa la Palestina.

5. Kabla ya Milki ya Ayubid, kulikuwa na Ufalme wa Frankish na Christian wa Yerusalemu, si taifa la Palestina.

6. Kabla ya Ufalme wa Yerusalemu, kulikuwa na milki za Umayyad na Fatimid, si taifa la Palestina.

7. Kabla ya milki za Umayyad na Fatimid, kulikuwa na Milki ya Byzantine, si taifa la Palestina.

8. Kabla ya Milki ya Byzantine, kulikuwa na Wasassanid, si taifa la Palestina.

9. Kabla ya Milki ya Sassanid, kulikuwa na Milki ya Byzantine, si taifa la Palestina.

10. Kabla ya Milki ya Byzantine, kulikuwa na Milki ya Rumi, si taifa la Palestina.

11. Kabla ya Milki ya Rumi, kulikuwa na taifa la Hasmonia, si taifa la Palestina.

12. Kabla ya jimbo la Hasmonia, kulikuwa na Waseleucid, si taifa la Palestina.

13. Kabla ya himaya ya Seleucid, kulikuwa na himaya ya Alexander Mkuu, si taifa la Palestina.

14. Kabla ya himaya ya Alexander Mkuu, kulikuwa na himaya ya Uajemi, si taifa la Palestina.

15. Kabla ya Milki ya Uajemi, kulikuwa na Milki ya Babeli, si taifa la Palestina.

16. Kabla ya Milki ya Babeli, kulikuwa na Falme za Israeli na Yuda, si taifa la Palestina.

17. Kabla ya Falme za Israeli na Yuda, kulikuwa na Ufalme wa Israeli, si taifa la Palestina.

18. Kabla ya ufalme wa Israeli, kulikuwa na demokrasia ya makabila kumi na mawili ya Israeli, si taifa la Palestina.

19. Kabla ya demokrasia ya makabila kumi na mawili ya Israeli, kulikuwa na mkusanyiko wa falme huru za miji ya Wakanaani, si taifa la Palestina.

(Ufalme wa Daudi - ramani ya kihistoria kwa wale wanaojiuliza jinsi eneo hilo lilivyoonekana zaidi ya miaka 2000 iliyopita, na jinsi mizizi ya Wayahudi ilivyo katika nchi hizi)
 

Attachments

  • IMG_5807.jpeg
    IMG_5807.jpeg
    111.7 KB · Views: 6
Tofautisha taifa na Dola, usichanganye.

Jews ni taifa bila kujali mipaka ya nchi, popote walipo wanajitanabaisha hivyo. Not all Jews are Israelists and the vice is reality. Ndio kusema israel ni Dola yenye serikali, jeshi na mipaka inayotambulika.

Palestinians ni taifa ambalo linapigania kuwa na Dola inayotambulika, kwa Sasa wana jeshi na serikali kamili. Wanachopigania ni mipaka iliyovamiwa kwenye eneo lao miaka ya 1940s.
 
Tofautisha taifa na Dola, usichanganye.

Jews ni taifa bila kujali mipaka ya nchi, popote walipo wanajitanabaisha hivyo. Not all Jews are Israelists and the vice is reality. Ndio kusema israel ni Dola yenye serikali, jeshi na mipaka inayotambulika.

Palestinians ni taifa ambalo linapigania kuwa na Dola inayotambulika, kwa Sasa wana jeshi na serikali kamili. Wanachopigania ni mipaka iliyovamiwa kwenye eneo lao miaka ya 1940s
Huyo bumunda atakujibu ki wepesi sana Mimi nazani muacheni tu Wala msimjibu Kwasababu akielekweza Kwa hoja nzito anajibu Kwa hoja nyepesi
 
Tofautisha taifa na Dola, usichanganye.

Jews ni taifa bila kujali mipaka ya nchi, popote walipo wanajitanabaisha hivyo. Not all Jews are Israelists and the vice is reality. Ndio kusema israel ni Dola yenye serikali, jeshi na mipaka inayotambulika.

Palestinians ni taifa ambalo linapigania kuwa na Dola inayotambulika, kwa Sasa wana jeshi na serikali kamili. Wanachopigania ni mipaka iliyovamiwa kwenye eneo lao miaka ya 1940s.
1940 Israel ilikuwepo!!! Hebu tofautisha kati ya Taifa la Tanzania na Dola!!!!

Au Taifa la Israel na Dola!!
 
Huyo bumunda atakujibu ki wepesi sana Mimi nazani muacheni tu Wala msimjibu Kwasababu akielekweza Kwa hoja nzito anajibu Kwa hoja nyepesi
Tatizo lako wewe ujinga unakusumbua sana!!!
 
📜 HISTORIA NDOGO KWA WALE WANAOZUNGUMZIA KUHUSU "KUREJESHA UPALESTINA."

1. Kabla ya Israeli, kulikuwa na mamlaka ya Uingereza, si taifa la Palestina.

2. Kabla ya Mamlaka ya Uingereza, kulikuwa na Milki ya Ottoman, si taifa la Palestina.

3. Kabla ya Milki ya Ottoman, kulikuwa na taifa la Kiislamu la Mamluk wa Misri, si taifa la Palestina.

4. Kabla ya taifa la Kiislamu la Mamluk wa Misri, kulikuwa na Milki ya Kiarabu na Kikurdi ya Ayubid, si taifa la Palestina.

5. Kabla ya Milki ya Ayubid, kulikuwa na Ufalme wa Frankish na Christian wa Yerusalemu, si taifa la Palestina.

6. Kabla ya Ufalme wa Yerusalemu, kulikuwa na milki za Umayyad na Fatimid, si taifa la Palestina.

7. Kabla ya milki za Umayyad na Fatimid, kulikuwa na Milki ya Byzantine, si taifa la Palestina.

8. Kabla ya Milki ya Byzantine, kulikuwa na Wasassanid, si taifa la Palestina.

9. Kabla ya Milki ya Sassanid, kulikuwa na Milki ya Byzantine, si taifa la Palestina.

10. Kabla ya Milki ya Byzantine, kulikuwa na Milki ya Rumi, si taifa la Palestina.

11. Kabla ya Milki ya Rumi, kulikuwa na taifa la Hasmonia, si taifa la Palestina.

12. Kabla ya jimbo la Hasmonia, kulikuwa na Waseleucid, si taifa la Palestina.

13. Kabla ya himaya ya Seleucid, kulikuwa na himaya ya Alexander Mkuu, si taifa la Palestina.

14. Kabla ya himaya ya Alexander Mkuu, kulikuwa na himaya ya Uajemi, si taifa la Palestina.

15. Kabla ya Milki ya Uajemi, kulikuwa na Milki ya Babeli, si taifa la Palestina.

16. Kabla ya Milki ya Babeli, kulikuwa na Falme za Israeli na Yuda, si taifa la Palestina.

17. Kabla ya Falme za Israeli na Yuda, kulikuwa na Ufalme wa Israeli, si taifa la Palestina.

18. Kabla ya ufalme wa Israeli, kulikuwa na demokrasia ya makabila kumi na mawili ya Israeli, si taifa la Palestina.

19. Kabla ya demokrasia ya makabila kumi na mawili ya Israeli, kulikuwa na mkusanyiko wa falme huru za miji ya Wakanaani, si taifa la Palestina.

(Ufalme wa Daudi - ramani ya kihistoria kwa wale wanaojiuliza jinsi eneo hilo lilivyoonekana zaidi ya miaka 2000 iliyopita, na jinsi mizizi ya Wayahudi ilivyo katika nchi hizi)
Hii ni sawa na wakati waTanganyika wanadai uhuru wao halafu waambiwe hapajawahi kuwa na taifa la Tanganyika

Hakuna mahali Duniani ambapo kulikua na taifa lolote isipokua kulikua kuna watu wanaishi eneo hilo, watu ambao walikua wanahama hama huku na huko…….. na mifumo ya kiutawala ilipo anza kuibuka wakaazi wa maeneo husika kwa wakati huo automatically ndio walikua kuja ku claim utaifa wa eneo hilo

Tatizo watu mnaangalia mambo haya kwa mtazamo wa vitabu vya kusadikika
 
Tofautisha taifa na Dola, usichanganye.

Jews ni taifa bila kujali mipaka ya nchi, popote walipo wanajitanabaisha hivyo. Not all Jews are Israelists and the vice is reality. Ndio kusema israel ni Dola yenye serikali, jeshi na mipaka inayotambulika.

Palestinians ni taifa ambalo linapigania kuwa na Dola inayotambulika, kwa Sasa wana jeshi na serikali kamili. Wanachopigania ni mipaka iliyovamiwa kwenye eneo lao miaka ya 1940s.

Nimesema 1940s maanake before halijaanzishwa Nov 1947, mchakato yake ilianzq mwanzoni mwa miaka ya 1940 nakuendelea. Mkuu ngorokori kweli nimeamini huyu jamaa yako ni kilaza, haielewi hata mtu akiandika 1940s anamaanisha nini? Hahahahaha bumunda
Vichaa mkipongezana!!
 
Hii ni sawa na wakati waTanganyika wanadai uhuru wao halafu waambiwe hapajawahi kuwa na taifa la Tanganyika

Hakuna mahali Duniani ambapo kulikua na taifa lolote isipokua kulikua kuna watu wanaishi eneo hilo, watu ambao walikua wanahama hama huku na huko…….. na mifumo ya kiutawala ilipo anza kuibuka wakaazi wa maeneo husika kwa wakati huo automatically ndio walikua kuja ku claim utaifa wa eneo hilo

Tatizo watu mnaangalia mambo haya kwa mtazamo wa vitabu vya kusadikika
Acha ujinga rudi shule ukasome hapajawahi kutokea Taifa au nchi ya Palestina ni ujinga tu ndiyo unawasumbua!!!
 
Unaushabiki wa kindezi wakati hujui hata unachokishabikia. Huna hata basics info za unachokishabikia zaidi ya kuokoteza vijihabari vya kipuuzi ambayo unashindwa hata kuvichuja.
Ujinga ndiyo unakusumbua!!
 
Nimesema 1940s maanake before halijaanzishwa Nov 1947, mchakato yake ilianzq mwanzoni mwa miaka ya 1940 nakuendelea. Mkuu ngorokori kweli nimeamini huyu jamaa yako ni kilaza, haielewi hata mtu akiandika 1940s anamaanisha nini? Hahahahaha bumunda
Acha ujinga wako wewe!!

Niambie wakati Israel inaikalia Palestina
"Nani alikuwa rais wa kwanza wa Palestina mwaka huo?
Kwa hivyo rais alikuwa nani?
Serikali ilikuwa ya nani?
Jeshi lilikuwa la nani?

Kulikuwa na Mamlaka ya Uingereza. Kabla ya hapo Wa-Ottoman. Kabla ya hapo wengine.
Wayahudi na Waarabu waliishi katika ardhi hiyo — lakini hakukuwa na nchi huru inayoitwa "Palestina" yenye rais, jeshi, au serikali ya "kukalia."

Je wajua Neno "Palestina" linamaanisha nini na Linatoka wapi?
Je wajua kiarabu hakuna herufi P?
 
Acha ujinga rudi shule ukasome hapajawahi kutokea Taifa au nchi ya Palestina ni ujinga tu ndiyo unawasumbua!!!
Kabla ya 1960 halikuwahi kuwepo taifa la Tanganyika. Je ina maana hatukupaswa kuomba uhuru? Au hawakuwahi kuwepo waTanganyika?

Kukaliwa na wakoloni hakuondoi utaifa wa wenyeji. Kihistoria hao waebrania (waIsrael) walitokea huko Iraq ndio wakahamia hapo canaan wakakuta tayari kuna settlement za jamii zingine.

Jitahidi kusoma historia kabla ya kuandika humu
 
Acha ujinga wako wewe!!

Niambie wakati Israel inaikalia Palestina
"Nani alikuwa rais wa kwanza wa Palestina mwaka huo?
Kwa hivyo rais alikuwa nani?
Serikali ilikuwa ya nani?
Jeshi lilikuwa la nani?

Kulikuwa na Mamlaka ya Uingereza. Kabla ya hapo Wa-Ottoman. Kabla ya hapo wengine.
Wayahudi na Waarabu waliishi katika ardhi hiyo — lakini hakukuwa na nchi huru inayoitwa "Palestina" yenye rais, jeshi, au serikali ya "kukalia."

Je wajua Neno "Palestina" linamaanisha nini na Linatoka wapi?
Je wajua kiarabu hakuna herufi P?
We naye hujitambui, unafahamu kabla ya 1910s hakukuwahi kuwa na taifa linaitwa Afrika kusini?

Ila kuanzia 1910 hao wazungu (makaburu) walijitangazia uhuru na kufikia 1961 ikawa taifa huru kamili.

Je ina maana Afrika kusini lilikua taifa la wazungu kihalali kisa tu kabla ya 1910 hakukuwahi kuwa na taifa la watu weusi la Afrika kusini?

Kwa logic hii ina maana Mandela hakupaswa kupewa taifa la watu weusi kisa halikuwahi kuwepo kabla ya 1994?

Haupo serious kabisa
 
Acha ujinga rudi shule ukasome hapajawahi kutokea Taifa au nchi ya Palestina ni ujinga tu ndiyo unawasumbua!!!
Jifunze kushambulia HOJA ya mleta hoja…. Na sio kumshambulia mleta hoja

Tuambie wewe miaka 100 nyuma kulikua na taifa la Tanganyika? Kulikua na taifa la kenya? kulikua na taifa la Afrika kusini?

Kabla ujaropoka ujinga wako jifunze kwanza Historia na jinsi ya kuutetea ujinga wako
 
Kabla ya 1960 halikuwahi kuwepo taifa la Tanganyika. Je ina maana hatukupaswa kuomba uhuru? Au hawakuwahi kuwepo waTanganyika?

Kukaliwa na wakoloni hakuondoi utaifa wa wenyeji. Kihistoria hao waebrania (waIsrael) walitokea huko Iraq ndio wakahamia hapo canaan wakakuta tayari kuna settlement za jamii zingine.

Jitahidi kusoma historia kabla ya kuandika humu
Waarabu-koko safari hii mtaijua kweli tutawa elimisha mpaka mkae sawa kiakili.
 

Attachments

  • eedcd298a80b0a4efc3a95048e6c492f.mp4
    5.2 MB
Jifunze kushambulia HOJA ya mleta hoja…. Na sio kumshambulia mleta hoja

Tuambie wewe miaka 100 nyuma kulikua na taifa la Tanganyika? Kulikua na taifa la kenya? kulikua na taifa la Afrika kusini?

Kabla ujaropoka ujinga wako jifunze kwanza Historia na jinsi ya kuutetea ujinga wako
Ujinga ndiyo unakusumbua sana wewe, Umemezeshwa uongo nawe bila kufikiria umeufakamia bila kujiuliza!!

Rudi shule ujifunze Historia siyo kuja hapa na kubwabwaja ovyo!!
 

Attachments

  • 3fb65787c64366c3e087c4dcfc5e5135.mp4
    33.2 MB
We naye hujitambui, unafahamu kabla ya 1910s hakukuwahi kuwa na taifa linaitwa Afrika kusini?

Ila kuanzia 1910 hao wazungu (makaburu) walijitangazia uhuru na kufikia 1961 ikawa taifa huru kamili.

Je ina maana Afrika kusini lilikua taifa la wazungu kihalali kisa tu kabla ya 1910 hakukuwahi kuwa na taifa la watu weusi la Afrika kusini?

Kwa logic hii ina maana Mandela hakupaswa kupewa taifa la watu weusi kisa halikuwahi kuwepo kabla ya 1994?

Haupo serious kabisa
Acha kubwabwaja Hakujawahi kuwepo Taifa la Palestina na halitawahi kuwepo!!!
 
Nimesema 1940s maanake before halijaanzishwa Nov 1947, mchakato yake ilianzq mwanzoni mwa miaka ya 1940 nakuendelea. Mkuu ngorokori kweli nimeamini huyu jamaa yako ni kilaza, haielewi hata mtu akiandika 1940s anamaanisha nini? Hahahahaha bumunda
Mkuu ndy mana nimekwambia achana nae huyu jamaa namfahamu Toka kipindi natumia Twitter au (x). Jamaa Huwa anatumia kinyeo kufikiria
 
Ushahidi wa kihistoria na ule wa kiakiolojia unasigana na madai ya Waarabu kusema pale ni kwao,
Ukimuuliza mwarabu yeyote wa pale Gaza akutajie japo Mfalme mmoja wa the so called Kipalestina kabla ya uhuru wa Israel 1948 (atakutukana matusi kama siyo kukuanzishia mada nyingine,utasikia "mayahudi waua wanawake na watoto")
Swali kwa Wapalestina wa JF, nipeni ushahidi wa lugha ya Kipalestina, Wafalme wa Kipalestina kabla ya uhuru wa Israel.
 
Back
Top Bottom