Mbona Mnazidi kunichanganya?? Nani mmiliki?

Mbona Mnazidi kunichanganya?? Nani mmiliki?

Km Israeli wataambiwa na mungu waje waichukue Tanzania hatutakubali kamwe!Lakini Israeli akitumwa na Mungu JEHOVAH kuja kuimiliki Tanzania tutashindwa kuzuia,kumbuka "Mungu akisema ndiyo,hakuna mwanadamu awezaye kumpinga"
Iman ni kitu cha ajabu yaani mtu aje kwako aseme Mungu kamwambia amiliki alafu umwachie tu kweli hakuna ugonjwa mbaya kama kutokujitambua mm siondoki mpaka Mungu aje anitoe nimuone yaani watu wanamtumia Mungu kisiasa hii ni hatari
 
hujawahi kuwa mkristu!wacha kuificha na lisigda lako kwenye 'ukristu'.

waje wavamie tz kwan wameandikiwa kwenye biblia.
ushahidi wa kimaandiko wa biblia lile ni eneo lao na lazima walichukue....bado punde kidogo palestine itapotea kwenye ramani ya dunia na kubaki historia..wacha kucheza na wazayuni.nchi 32 za kiarabu zimeizunguka israel na kila siku wanagongwa,na watagongwa mpaka ukamilifu wa dahari.
7spirits njoo hapa.utapata fact hapa,imani hizi zinapteza mada nzima kukamilika.
 
hayo ma historia yenu ya kutunga yanachanganya sana-sasa kwa maelezo yako kama huyo ibrahim alikuwa mwarabu na akamzaa huyo yakobo (israel) naye MWARABU sasa inakuwaje hawa waisael wa sasa hivi wawe WAZUNGU??.
Mkuu tuko na vilaza wa kisomi waliokaririshwa kupata degree na vyeti hawana na wala hawaioni fact.in kushabikia tu.wale in wazungu wana plank ya muda mrefu kumiliki maliasili zilizopo mashariki ya kati
 
Mkuu Kumbuka Ibrahim ndie huyo huyo Baba wa Mataifa kibao ya Waarabu na pia remember Arabs are from Arabian Peninsula na sio Hapo Israel hao waarabu wanaojiita Palestinian wamehamia hapo wakitokea Egypt kwa wingi kabisa hata majina yao yana asili ya huko Misri pia wapo wenye asili ya Yemen,Saudia pia so acha uzembe... Palestina hiyo Nchi walipoondoka kina Yusuph Nchi ilikuja kaliwa na Magiant yaani Majitu Makubwa mno ambayo binadamu alionekana kama Sisimizi tu kwao
Hadithi za sungura na fisi,Yale ya kuambiwa binaadam alikuwa nyani.
 
Kwa nilivyokuelewa hao wakanaani walinyanganywa ardhi yao sababu walimkosea Mungu sio?bac kwa nn hawa wayahudi walipomkosea huyohuyo Mungu aliwapeleka utumwani na kuwarudisha tena...why hakuagiza na wao wafutiliwe mbali kwenye uso wa dunja?Je Mungu anaupendeleo??

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Mambo ya imani siyakuyaamua kama tunavyotaka sisi...!! Nandiyo maana hata hao wanaodai kuonewa hawahi kuacha chokochoko hata kama wanapata madhira makubwa wao na watoto wao, huwa nashangaa mbinu wanazotumia kujihami na nabaki kujiuliza maswali mengi. Lakini, je unataka mimi na wewe tukubaliane kulivunja agano ambalo mimi na wewe hatukuliweka?
 
7spirits njoo hapa.utapata fact hapa,imani hizi zinapteza mada nzima kukamilika.
Tukubaliane kwamba; 3-4 au zaidi perspectives approaches zinaweza kuwa-applied hapa. Imani ndiyo inaweza kuwa theory kubwa kuliko zote, wewe kaa upande wao wasioamini dini/imani hizi 2 zinazozana Middle East. Kuna wanaochambua kwa approach ya Judaism, Islamism, na wale wasio na dini...
Ila katika mambo yote, but all in all variables must be tested to prove the arguments...
 
Tukubaliane kwamba; 3-4 au zaidi perspectives approaches zinaweza kuwa-applied hapa. Imani ndiyo inaweza kuwa theory kubwa kuliko zote, wewe kaa upande wao wasioamini dini/imani hizi 2 zinazozana Middle East. Kuna wanaochambua kwa approach ya Judaism, Islamism, na wale wasio na dini...
Ila katika mambo yote, but all in all variables must be tested to prove the arguments...
hii ni sentensi yangu ya mwisho kwako,pale pana siasa na maslahi basi imani na dini zimesimama kama puppets tu.siku njema ngoja nikatambike mkuu.
 
hii ni sentensi yangu ya mwisho kwako,pale pana siasa na maslahi basi imani na dini zimesimama kama puppets tu.siku njema ngoja nikatambike mkuu.
Nimekwambia kuna approaches 3-4 au zaidi, ukisema siasa ujiridhishe pia kwamba unaweza kutetea hoja zako. Na siasa haijawahi kutenganishwa na dini/imani hata siku moja...
Yesu Kristo azuie tambiko lako lisifanikiwe...
 
Nimekwambia kuna approaches 3-4 au zaidi, ukisema siasa ujiridhishe pia kwamba unaweza kutetea hoja zako. Na siasa haijawahi kutenganishwa na dini/imani hata siku moja...
Yesu Kristo azuie tambiko lako lisifanikiwe...
ashindwe kwa jina la tunguri.
 
Uzidi kuwa hivyo dini huweza kubadilika kwa sababu mbalimbali.amani iwe kwako
 
Jiulize why baadhi ya waarabu waliuza kwa cash ardhi zao and then wanadai warejeshewe?
Hilo swali sina jibu lake mkuu ila nimejaribu kuonyesha au kuelezea nani kwa mtazamo wangu ndio mmiliki wa hiyo ardhi inayopiganiwa.
 
Back
Top Bottom