Mbona Mnazidi kunichanganya?? Nani mmiliki?

Mbona Mnazidi kunichanganya?? Nani mmiliki?

Kisheria na kihaki kabisa lile eneo lote ni la palestina
Wayahudi wao walivamia ardhi ile tangu kipindi inaitwa kanaani wakitumia kigezo cha kwamba wamepewa na mungu wao wa vita.

Wanaotetea eneo lile kidini/wakristo hivi niwaulize ikitokea huyo mungu akiwaambia wayahudi leo hii kuwa amewapa tanzania nao wakaja kwa lengo la kuichukua tanzania mtawaelewa? mtamuonaje huyo mungu?
Kumbuka kama wakipewa tanzania leo hii watakuja na kuanza kutuua na kutufukuza tukawe wakimbizi kwenye nchi za watu ili wao wachukue tanzania waliyopewa na mungu wao! mnakubali kuna mungu mpumbavu kiasi hicho?
Hebu tumieni akili bwana
Nilikuwa mkristo lakini kwa vitu vya kipumbavu kama hivi nikauvua na sasa sina dini.

Wayahudi ndio wanapaswa kuondoka pale na kuwaachia wazawa/wakanaani/wapalestina wa pale ardhi yao yote!
Haiwezekani kuwe na mungu mwenye upendo na wa haki afanye mambo ya kipuuzi namna hii
Mnaoitetea israel jitafakarini hivi kesho wayahudi wakaja na madege ya kivita, vifaru, bunduki alafu waanze kutushambulia waseme wameagizwa na mungu kuja kuikalia tanzania kimabavu mtawaelewa?

ACHENI UPUMBAVU
hujawahi kuwa mkristu!wacha kuificha na lisigda lako kwenye 'ukristu'.

waje wavamie tz kwan wameandikiwa kwenye biblia.
ushahidi wa kimaandiko wa biblia lile ni eneo lao na lazima walichukue....bado punde kidogo palestine itapotea kwenye ramani ya dunia na kubaki historia..wacha kucheza na wazayuni.nchi 32 za kiarabu zimeizunguka israel na kila siku wanagongwa,na watagongwa mpaka ukamilifu wa dahari.
 
Mkuu umedhihirisha upumbavu pia (SIYO TUSI)...! Kama ulikuwa Mkristo ukaishia kukasirishwa tu na maamuzi ambayo Mungu aliyafanya endelea kuamini kuwa uko sahihi.
Kiimani, taifa linapopatwa na mambo mabaya kama njaa, vita, au kuvamiwa na kutawaliwa na taifa jingine kanuni za ulimwengu wa roho zinaonesha kwamba taifa hilo ama litakuwa limemkosea Mungu sehemu fulani. Na hata hao unaowatetea kwa mtazamo wa mambo ya kale ni kwamba waliondolewa pale au nchi yao iligawiwa kwa Israel kwa sababu ya machukizo yao mbele za Mungu.
Hivi vita vya leo ni matokeo tu ya makosa ya pande zote mbili. Israel aliambiwa awaangamize kabisa wenyeji wa nchi hiyo (Kanaani) ila kwa sababu ya huruma na upendo wa kibinadamu wafalme wa Israel waliwahurumia baadhi ya watu hasa wanawake wazuri na watoto wakawabakiza na kiapo cha Mungu kikibadilika kwamba hao wenyeji wataendelea kuwasumbua Israel maisha yao yote na watakuwa mwiba kwao.
Endelea kuchukia na kukasirika, ila amini tu hata Tanzania ikileta ujinga mbele za Mungu nayo inaingia utumwani kwa njia moja au nyingine...
Kwa nilivyokuelewa hao wakanaani walinyanganywa ardhi yao sababu walimkosea Mungu sio?bac kwa nn hawa wayahudi walipomkosea huyohuyo Mungu aliwapeleka utumwani na kuwarudisha tena...why hakuagiza na wao wafutiliwe mbali kwenye uso wa dunja?Je Mungu anaupendeleo??

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Waisrael Baba yao ni Ibrahim mzaliwa wa Uru ya ukalidayo Sasa Iraq.

Sasa wanasema Mungu alimtokea Ibrahim akamwamnia kuna nchi ya maziwa na asali atawapa uzao wake, Ambayo ilikiwa inaitwa Kanaani enzi hizo, wakati hiyo nchi tayati ilikuwa na watu wakaazi ambo ni wapalestina

Sasa wayahudi wamekomalia hilo mpk leo,

Sijui unamwambiaje mtu hapa ni kwangu wakati umemkuta, haiingii akilini hata kidogo
Wapalestina hawakuwa Jerusalem wakati huo. Huo ni upotoshaji wa wazi. Achana na story za vijiwe vya coffee.
 
Mkuu umedhihirisha upumbavu pia (SIYO TUSI)...! Kama ulikuwa Mkristo ukaishia kukasirishwa tu na maamuzi ambayo Mungu aliyafanya endelea kuamini kuwa uko sahihi.
Kiimani, taifa linapopatwa na mambo mabaya kama njaa, vita, au kuvamiwa na kutawaliwa na taifa jingine kanuni za ulimwengu wa roho zinaonesha kwamba taifa hilo ama litakuwa limemkosea Mungu sehemu fulani. Na hata hao unaowatetea kwa mtazamo wa mambo ya kale ni kwamba waliondolewa pale au nchi yao iligawiwa kwa Israel kwa sababu ya machukizo yao mbele za Mungu.
Hivi vita vya leo ni matokeo tu ya makosa ya pande zote mbili. Israel aliambiwa awaangamize kabisa wenyeji wa nchi hiyo (Kanaani) ila kwa sababu ya huruma na upendo wa kibinadamu wafalme wa Israel waliwahurumia baadhi ya watu hasa wanawake wazuri na watoto wakawabakiza na kiapo cha Mungu kikibadilika kwamba hao wenyeji wataendelea kuwasumbua Israel maisha yao yote na watakuwa mwiba kwao.
Endelea kuchukia na kukasirika, ila amini tu hata Tanzania ikileta ujinga mbele za Mungu nayo inaingia utumwani kwa njia moja au nyingine...
Mbona Tz ishaingia utymwani
Hali haipo sawa kabisa kwenye ulimwengu wa roho
 
Kisheria na kihaki kabisa lile eneo lote ni la palestina
Wayahudi wao walivamia ardhi ile tangu kipindi inaitwa kanaani wakitumia kigezo cha kwamba wamepewa na mungu wao wa vita.

Wanaotetea eneo lile kidini/wakristo hivi niwaulize ikitokea huyo mungu akiwaambia wayahudi leo hii kuwa amewapa tanzania nao wakaja kwa lengo la kuichukua tanzania mtawaelewa? mtamuonaje huyo mungu?
Kumbuka kama wakipewa tanzania leo hii watakuja na kuanza kutuua na kutufukuza tukawe wakimbizi kwenye nchi za watu ili wao wachukue tanzania waliyopewa na mungu wao! mnakubali kuna mungu mpumbavu kiasi hicho?
Hebu tumieni akili bwana
Nilikuwa mkristo lakini kwa vitu vya kipumbavu kama hivi nikauvua na sasa sina dini.

Wayahudi ndio wanapaswa kuondoka pale na kuwaachia wazawa/wakanaani/wapalestina wa pale ardhi yao yote!
Haiwezekani kuwe na mungu mwenye upendo na wa haki afanye mambo ya kipuuzi namna hii
Mnaoitetea israel jitafakarini hivi kesho wayahudi wakaja na madege ya kivita, vifaru, bunduki alafu waanze kutushambulia waseme wameagizwa na mungu kuja kuikalia tanzania kimabavu mtawaelewa?

ACHENI UPUMBAVU
umeandika kishabiki sana mkuu ishu ya israel na palestina ni special case san
 
hayo ma historia yenu ya kutunga yanachanganya sana-sasa kwa maelezo yako kama huyo ibrahim alikuwa mwarabu na akamzaa huyo yakobo (israel) naye MWARABU sasa inakuwaje hawa waisael wa sasa hivi wawe WAZUNGU??.
 
hayo ma historia yenu ya kutunga yanachanganya sana-sasa kwa maelezo yako kama huyo ibrahim alikuwa mwarabu na akamzaa huyo yakobo (israel) naye MWARABU sasa inakuwaje hawa waisael wa sasa hivi wawe WAZUNGU??.
Hapo ndo shida kina Netanyahu si wazungu wale[emoji23]
 
Kisheria na kihaki kabisa lile eneo lote ni la palestina
Wayahudi wao walivamia ardhi ile tangu kipindi inaitwa kanaani wakitumia kigezo cha kwamba wamepewa na mungu wao wa vita.

Wanaotetea eneo lile kidini/wakristo hivi niwaulize ikitokea huyo mungu akiwaambia wayahudi leo hii kuwa amewapa tanzania nao wakaja kwa lengo la kuichukua tanzania mtawaelewa? mtamuonaje huyo mungu?
Kumbuka kama wakipewa tanzania leo hii watakuja na kuanza kutuua na kutufukuza tukawe wakimbizi kwenye nchi za watu ili wao wachukue tanzania waliyopewa na mungu wao! mnakubali kuna mungu mpumbavu kiasi hicho?
Hebu tumieni akili bwana
Nilikuwa mkristo lakini kwa vitu vya kipumbavu kama hivi nikauvua na sasa sina dini.

Wayahudi ndio wanapaswa kuondoka pale na kuwaachia wazawa/wakanaani/wapalestina wa pale ardhi yao yote!
Haiwezekani kuwe na mungu mwenye upendo na wa haki afanye mambo ya kipuuzi namna hii
Mnaoitetea israel jitafakarini hivi kesho wayahudi wakaja na madege ya kivita, vifaru, bunduki alafu waanze kutushambulia waseme wameagizwa na mungu kuja kuikalia tanzania kimabavu mtawaelewa?

ACHENI UPUMBAVU
Mtoa post kasema; Ibrahim aliama toka Iran ya Leo kwenda nchi ya ahadi,na jina Israel alipewa mwanae Ibrahim na Mungu,siamini kama ni Mungu tofauti na unayemuabudu wewe,pitia maandiko labda utapata meanga.
 
palestina ndio mmiliki halali
swali moja la kujiuliza kama uingereza iligawa au iliwapa uhuru kila koloni lake wenyewe na wakawa huru je ni kwanini wapalestina hawakupewa uhuru badala yake tunaona watu waliokuwa wakitoka nchini ujerumani wanapewa uhuru badala ya palestina??
na akina nani walikuwa kwenye kuisuka hiyo ishu mpaka tunaona israel apewe palestina na si nchi nyingine kuna hii familia inaitwa Rothschild family
 
Wayahudi warudi Huru ya Wakaldayo ambayo ndo Iraq alikotokea Ibrahimu...
Au Mungu kama aliamuwa kuwapa ardhi ya hao wapalestina bac angewauwa wote kabisa ili hayo wayahudi wakae....na sababu hakuwamaliza wote, uzoa wao una haki ya kudai hiyo ardhi ambayo wamenyanganywa na Israel....
Mkuu Kumbuka Ibrahim ndie huyo huyo Baba wa Mataifa kibao ya Waarabu na pia remember Arabs are from Arabian Peninsula na sio Hapo Israel hao waarabu wanaojiita Palestinian wamehamia hapo wakitokea Egypt kwa wingi kabisa hata majina yao yana asili ya huko Misri pia wapo wenye asili ya Yemen,Saudia pia so acha uzembe... Palestina hiyo Nchi walipoondoka kina Yusuph Nchi ilikuja kaliwa na Magiant yaani Majitu Makubwa mno ambayo binadamu alionekana kama Sisimizi tu kwao
 
palestina ndio mmiliki halali
swali moja la kujiuliza kama uingereza iligawa au iliwapa uhuru kila koloni lake wenyewe na wakawa huru je ni kwanini wapalestina hawakupewa uhuru badala yake tunaona watu waliokuwa wakitoka nchini ujerumani wanapewa uhuru badala ya palestina??
na akina nani walikuwa kwenye kuisuka hiyo ishu mpaka tunaona israel apewe palestina na si nchi nyingine kuna hii familia inaitwa Rothschild family
Jiulize why baadhi ya waarabu waliuza kwa cash ardhi zao and then wanadai warejeshewe?
 
Mkuu Kumbuka Ibrahim ndie huyo huyo Baba wa Mataifa kibao ya Waarabu na pia remember Arabs are from Arabian Peninsula na sio Hapo Israel hao waarabu wanaojiita Palestinian wamehamia hapo wakitokea Egypt kwa wingi kabisa hata majina yao yana asili ya huko Misri pia wapo wenye asili ya Yemen,Saudia pia so acha uzembe... Palestina hiyo Nchi walipoondoka kina Yusuph Nchi ilikuja kaliwa na Magiant yaani Majitu Makubwa mno ambayo binadamu alionekana kama Sisimizi tu kwao
Mh.....yatasemwa mengi sana

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Siku zote mi sitaki kubishana na Mungu
Alishasema wapalestina ni watumwa tu kwa israel na itaendelea kuwa hivyo mpaka mwisho wa dahari
Mungu sasa anaitumia marekani kuilinda israel na mji wake mkuu wa jerusalemu
Ahahhaahhahahhaahah ndugu yangu mbona hii sasa inachekesha Mungu anamtumia US kuilinda israel hii kiboko
 
Back
Top Bottom