Mungu anasingiziwa mambo machafu sana,
mara ooh,walimchukiza mungu akawaangamiza,
ooh mfalme Belshazar sijui alikuwa na kiburi mungu akamwondoa,unajiuliza sasa huyo Belshaza alikuwa mfalme wa wapi.na aliwajibika vipi kwa mungu wa israel mpaka kiburi chake kimkere,
mbaya zaidi namtafuta belshaza kwenye history simpati,
ooh wale walifanya maovu mungu akawaua,unajiuliza hayo maovu ni gani ambayo sikuhizi hayafanywi,
ooh israel imebarikiwa huwezi kuipiga,mmh,kwani ubarikio huu ulianza rasmi 1967?,mbona karne na karne wanadundwa na kuchukuliwa mateka,
wanasema,kipindi kile walimchukiza mungu,
ha ha ha,kwahiyo sasa hivi hawamchukizi?,
au kwakuwa sasa wana F-16 mungu ndo anaona sawa tu wawe wanawadungua wapalestina mda wote,
ukijiuliza sana unagundua hakuna cha mungu hapo.
Mungu labda awe ndo wao wenyewe