Mbona Mnazidi kunichanganya?? Nani mmiliki?

Mbona Mnazidi kunichanganya?? Nani mmiliki?

Mkuu umedhihirisha upumbavu pia (SIYO TUSI)...! Kama ulikuwa Mkristo ukaishia kukasirishwa tu na maamuzi ambayo Mungu aliyafanya endelea kuamini kuwa uko sahihi.
Kiimani, taifa linapopatwa na mambo mabaya kama njaa, vita, au kuvamiwa na kutawaliwa na taifa jingine kanuni za ulimwengu wa roho zinaonesha kwamba taifa hilo ama litakuwa limemkosea Mungu sehemu fulani. Na hata hao unaowatetea kwa mtazamo wa mambo ya kale ni kwamba waliondolewa pale au nchi yao iligawiwa kwa Israel kwa sababu ya machukizo yao mbele za Mungu.
Hivi vita vya leo ni matokeo tu ya makosa ya pande zote mbili. Israel aliambiwa awaangamize kabisa wenyeji wa nchi hiyo (Kanaani) ila kwa sababu ya huruma na upendo wa kibinadamu wafalme wa Israel waliwahurumia baadhi ya watu hasa wanawake wazuri na watoto wakawabakiza na kiapo cha Mungu kikibadilika kwamba hao wenyeji wataendelea kuwasumbua Israel maisha yao yote na watakuwa mwiba kwao.
Endelea kuchukia na kukasirika, ila amini tu hata Tanzania ikileta ujinga mbele za Mungu nayo inaingia utumwani kwa njia moja au nyingine...
Mungu huyu wa upendo anaagiza watu wawaangamize binadamu wenzao kisa ardhi kweli?
 
Mkuu umedhihirisha upumbavu pia (SIYO TUSI)...! Kama ulikuwa Mkristo ukaishia kukasirishwa tu na maamuzi ambayo Mungu aliyafanya endelea kuamini kuwa uko sahihi.
Kiimani, taifa linapopatwa na mambo mabaya kama njaa, vita, au kuvamiwa na kutawaliwa na taifa jingine kanuni za ulimwengu wa roho zinaonesha kwamba taifa hilo ama litakuwa limemkosea Mungu sehemu fulani. Na hata hao unaowatetea kwa mtazamo wa mambo ya kale ni kwamba waliondolewa pale au nchi yao iligawiwa kwa Israel kwa sababu ya machukizo yao mbele za Mungu.
Hivi vita vya leo ni matokeo tu ya makosa ya pande zote mbili. Israel aliambiwa awaangamize kabisa wenyeji wa nchi hiyo (Kanaani) ila kwa sababu ya huruma na upendo wa kibinadamu wafalme wa Israel waliwahurumia baadhi ya watu hasa wanawake wazuri na watoto wakawabakiza na kiapo cha Mungu kikibadilika kwamba hao wenyeji wataendelea kuwasumbua Israel maisha yao yote na watakuwa mwiba kwao.
Endelea kuchukia na kukasirika, ila amini tu hata Tanzania ikileta ujinga mbele za Mungu nayo inaingia utumwani kwa njia moja au nyingine...
Ukweli ndio huu
 
Watu mnachotakiwa kujua Mungu hachunguziki maana tunayoyawaza sisi na anayotuwazia yeye ni tofauti
 
Nawaona tu mnavyobishana na matakwa ya mungu kwa kujifanya mna akili za kutafakari na kuligeuza andiko lake,alafu mi nacheka tu kihutu.......Ihihihihiiiiiii.
 
Wayahudi warudi Huru ya Wakaldayo ambayo ndo Iraq alikotokea Ibrahimu...
Au Mungu kama aliamuwa kuwapa ardhi ya hao wapalestina bac angewauwa wote kabisa ili hayo wayahudi wakae....na sababu hakuwamaliza wote, uzoa wao una haki ya kudai hiyo ardhi ambayo wamenyanganywa na Israel....
Chimbuko la wapalestina ni nani?
 
ww wakanaan unawajua?? Unaweza kunieleza wakanaan kwasasa wanaishi nchi gani mkuu??
They're "Extinct" just like the Amorites, Hittites, Hivites, Jebusites, Kenizzites, Perizzites etc
 
Mkuu umedhihirisha upumbavu pia (SIYO TUSI)...! Kama ulikuwa Mkristo ukaishia kukasirishwa tu na maamuzi ambayo Mungu aliyafanya endelea kuamini kuwa uko sahihi.
Kiimani, taifa linapopatwa na mambo mabaya kama njaa, vita, au kuvamiwa na kutawaliwa na taifa jingine kanuni za ulimwengu wa roho zinaonesha kwamba taifa hilo ama litakuwa limemkosea Mungu sehemu fulani. Na hata hao unaowatetea kwa mtazamo wa mambo ya kale ni kwamba waliondolewa pale au nchi yao iligawiwa kwa Israel kwa sababu ya machukizo yao mbele za Mungu.
Hivi vita vya leo ni matokeo tu ya makosa ya pande zote mbili. Israel aliambiwa awaangamize kabisa wenyeji wa nchi hiyo (Kanaani) ila kwa sababu ya huruma na upendo wa kibinadamu wafalme wa Israel waliwahurumia baadhi ya watu hasa wanawake wazuri na watoto wakawabakiza na kiapo cha Mungu kikibadilika kwamba hao wenyeji wataendelea kuwasumbua Israel maisha yao yote na watakuwa mwiba kwao.
Endelea kuchukia na kukasirika, ila amini tu hata Tanzania ikileta ujinga mbele za Mungu nayo inaingia utumwani kwa njia moja au nyingine...
hizi stori ndio hufanya watu wasiamini uwepo wa mungu,ila mimi huamini mungu yupo ila sie afundishwaye kwenye vitabu vya kipuuzi.
 
hadithi za kipumbavu za kiyahudi nani amewaloga waafrika.
Ukitaka MTU awe mtumwa wako mpe imani ambayo tangia utotoni ana aminishwa akisha kuwa mkubwa hata umwambie ukweli hawezi kuelewa mana ubongo una kuwa programmed
 
Ukitaka MTU awe mtumwa wako mpe imani ambayo tangia utotoni ana aminishwa akisha kuwa mkubwa hata umwambie ukweli hawezi kuelewa mana ubongo una kuwa programmed
wewe umeona safi sana mkiwa wengi kama wewe hata upepo utaonekana sio majitu yaliyokaririshwa na kujazwa chuki.
 
Back
Top Bottom