Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,239
- 113,612
Namzungumzia aliyekuwa mbunge wa CCM jimbo la Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu.
Tokea atangaze kuhamia CHADEMA akitoka CCM amekuwa kimya sana.
Nawaza ni kulikoni huo ukimya wake? Je, labda anajutia huo uamuzi wake?
Au labda huo ukimya wake mwingi una mshindo na hivyo makamanda wavute subira?
Mimi binafsi bado naamini huyo bwana atarejea tu alikotoka kwa sababu siamini kama anayo DNA ya kuwa mpinzani kwenye nchi hii.
Alishazoea mema na istihaki za kuwa kwenye chama tawala na sidhani anaweza akakaa bila nazo kwa muda mrefu.
Muda utatueleza, hata hivyo.....
Tokea atangaze kuhamia CHADEMA akitoka CCM amekuwa kimya sana.
Nawaza ni kulikoni huo ukimya wake? Je, labda anajutia huo uamuzi wake?
Au labda huo ukimya wake mwingi una mshindo na hivyo makamanda wavute subira?
Mimi binafsi bado naamini huyo bwana atarejea tu alikotoka kwa sababu siamini kama anayo DNA ya kuwa mpinzani kwenye nchi hii.
Alishazoea mema na istihaki za kuwa kwenye chama tawala na sidhani anaweza akakaa bila nazo kwa muda mrefu.
Muda utatueleza, hata hivyo.....