Mbona Bei ya Kofia ya Mamelody (48,000tshs) ni sawa na bei Jezi ya SImba

Mbona Bei ya Kofia ya Mamelody (48,000tshs) ni sawa na bei Jezi ya SImba

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
400
Reaction score
811
Bei ya kofia ya Mamelody ni randi 330 sawa na 48,000 pesa ya Tanzania na jezi ya Mamelody ni zaidi ya 150,000 tshs. Sababu ya kuuzwa bei mbaya ni kwamba Jezi za mamelody zinatengenezwa na kampuni ya ULAYA iitwayo PUMA(Ujerumani)
mamelody1.jpg

mameloddy.jpg


Pia kwa mujibu wa Mghana Micky Jnr Jezi ya Esperance ni euro 84 sawa na tshs 250,000 unanunua Jezi za Simba tano na chenji inarudi
esss.jpg

Esperance uzi wake unatengenezwa na kampuni ya Kiitaliano iitwayo Kappa
Sasa najiuliza hii ulaya inakotengenezwa jezi ya Simba na kuja kuuzwa bei sawa na Jezi ya Yanga ni ulaya ipi? kwani Ulaya ziko ngapi? au ni Italia vijijini?
Souce Accessories | Sundowns FC Online Store
 
Hili swali umeelekeza kwa Mamelody au kwa Simba?. Eleweka kwanza mkuu!

Kama vipi tuwaulize Mamelody kwanini wananunua kofia kwa bei kubwa...itakua utakatishaji fedha 😂

Ponjoro wewe unaandika na kujijibu...yaani unasema jezi za Mamelody zina bei mbaya na sababu unatoa na bado unalinganisha bei na za Simba ...bila hiyo sababu jezi za Mamelody zingeuzwa bei gani?
 
Bei ya kofia ya Mamelody ni randi 330 sawa na 48,000 pesa ya Tanzania na jezi ya Mamelody ni zaidi ya 150,000 tshs. Sababu ya kuuzwa bei mbaya ni kwamba Jezi za mamelody zinatengenezwa na kampuni ya ULAYA iitwayo PUMA(Ujerumani)
View attachment 3461851
View attachment 3461852

Pia kwa mujibu wa Mghana Micky Jnr Jezi ya Esperance ni euro 84 sawa na tshs 250,000 unanunua Jezi za Simba tano na chenji inarudi
View attachment 3461853
Esperance uzi wake unatengenezwa na kampuni ya Kiitaliano iitwayo Kappa
Sasa najiuliza hii ulaya inakotengenezwa jezi ya Simba na kuja kuuzwa bei sawa na Jezi ya Yanga ni ulaya ipi? kwani Ulaya ziko ngapi? au ni Italia vijijini?
Souce Accessories | Sundowns FC Online Store
Ni ulaya ya YUAN, TIANG
 
Bei ya kofia ya Mamelody ni randi 330 sawa na 48,000 pesa ya Tanzania na jezi ya Mamelody ni zaidi ya 150,000 tshs. Sababu ya kuuzwa bei mbaya ni kwamba Jezi za mamelody zinatengenezwa na kampuni ya ULAYA iitwayo PUMA(Ujerumani)
View attachment 3461851
View attachment 3461852

Pia kwa mujibu wa Mghana Micky Jnr Jezi ya Esperance ni euro 84 sawa na tshs 250,000 unanunua Jezi za Simba tano na chenji inarudi
View attachment 3461853
Esperance uzi wake unatengenezwa na kampuni ya Kiitaliano iitwayo Kappa
Sasa najiuliza hii ulaya inakotengenezwa jezi ya Simba na kuja kuuzwa bei sawa na Jezi ya Yanga ni ulaya ipi? kwani Ulaya ziko ngapi? au ni Italia vijijini?
Souce Accessories | Sundowns FC Online Store
Hizo sasa ndio jezi OG ,jezi 45k ndio mnasema OG? Jezi tu za ulaya nyingi zinacheza kwenye kuanzia 300k+.Kwa kifupi jezi zetu zinatofautiana rangi ila quality zipo sawa au zinakaribiana.
 
Hili swali umeelekeza kwa Mamelody au kwa Simba?. Eleweka kwanza mkuu!

Kama vipi tuwaulize Mamelody kwanini wananunua kofia kwa bei kubwa...itakua utakatishaji fedha 😂

Ponjoro wewe unaandika na kujijibu...yaani unasema jezi za Mamelody zina bei mbaya na sababu unatoa na bado unalinganisha bei na za Simba ...bila hiyo sababu jezi za Mamelody zingeuzwa bei gani?
Rudia kusoma post wewe slow learner
 
Bei ya kofia ya Mamelody ni randi 330 sawa na 48,000 pesa ya Tanzania na jezi ya Mamelody ni zaidi ya 150,000 tshs. Sababu ya kuuzwa bei mbaya ni kwamba Jezi za mamelody zinatengenezwa na kampuni ya ULAYA iitwayo PUMA(Ujerumani)
View attachment 3461851
View attachment 3461852

Pia kwa mujibu wa Mghana Micky Jnr Jezi ya Esperance ni euro 84 sawa na tshs 250,000 unanunua Jezi za Simba tano na chenji inarudi
View attachment 3461853
Esperance uzi wake unatengenezwa na kampuni ya Kiitaliano iitwayo Kappa
Sasa najiuliza hii ulaya inakotengenezwa jezi ya Simba na kuja kuuzwa bei sawa na Jezi ya Yanga ni ulaya ipi? kwani Ulaya ziko ngapi? au ni Italia vijijini?
Souce Accessories | Sundowns FC Online Store
Unauza jezi Alf 32 unajiita timu kubwa Shame on you
 
Hili swali umeelekeza kwa Mamelody au kwa Simba?. Eleweka kwanza mkuu!

Kama vipi tuwaulize Mamelody kwanini wananunua kofia kwa bei kubwa...itakua utakatishaji fedha 😂

Ponjoro wewe unaandika na kujijibu...yaani unasema jezi za Mamelody zina bei mbaya na sababu unatoa na bado unalinganisha bei na za Simba ...bila hiyo sababu jezi za Mamelody zingeuzwa bei gani?
Anajifabya anajua tu mambo mengine lkn Hana hoja kwa SSC
 
Back
Top Bottom