mmoja wa waliofariki ni fundi mitamboDstv mnafaidi sana,mswahili ni mswahili tu,akipata msiba anafikiri watu wote wanalia. Tuna uchungu lakini tulihitaji mpira
Kwa hiyo Kama ni fundi mitambo ?mmoja wa waliofariki ni fundi mitambo
mi mwenyewe nilikua nawakubali sana hawa jamaa ila daily upumbavu unazidi channel nzuri wanazichomoa hili la mpira maajabu CECAFA iko hewani ila Afcon wanazingua kwangu soon kuna haja ya kupandisha dishla blue!Hapa ndo unapoona tofauti ya DSTV na huu upuuzi , baada ya miaka 4 ya kuwa mteja mtiifu wa AZAM ,mwezi huu naachana nao ..this is unacceptable kwa kweli
AFCON haoneshi ila CECAFA wanaonesha sijui wanakwama wapi?Hawa jamaa ovyo kabisa. Mratibu wao wa vipindi anafeli pakubwa, hajui mahitaji ya wateja wao.
HahahahahahahahahHapa ndo unapoona tofauti ya DSTV na huu upuuzi , baada ya miaka 4 ya kuwa mteja mtiifu wa AZAM ,mwezi huu naachana nao ..this is unacceptable kwa kweli
Siyo kweliToka tumetolewa sijawahi kuona wakionyesha tena
Hapana bwana wameonyesha mechi nyingi mbona mpaka hatua ya 16 bora sema mechi za mwisho za 16 bora ndo azikuonyeshwa.Toka tumetolewa sijawahi kuona wakionyesha tena
Hata mimi bora nilipe nifurahie ninacholipia kuliko huu upuuziHapa ndo unapoona tofauti ya DSTV na huu upuuzi , baada ya miaka 4 ya kuwa mteja mtiifu wa AZAM ,mwezi huu naachana nao ..this is unacceptable kwa kweli
Ovyo sana hawa Azam! Basi wangeachia KBc, UBC na ile ya Rwanda watuoneshe mechi! Kwa nini wanazipiga pini?