The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,445
- 8,299
Leo nilikuwa sijapanga kuandika chochote hapa JF. ila hawa Azam media wamekuwa wadwanzi sana hasa upande wa radio UFM. Nimekuwa nikifuatlia trend yao ya urushaji matangazo ya DW siku nyingi mwanzo nilihisi ni bahati mbaya.
Lakini nimejirizisha pasina shaka.kwamba wanafanya makusuidi huku wakisingizia matatizo ya kiufundi kwa nini habari zote ambazo zinakuwa mwiba kwa serikali mnakuwa mnakata kata matangazo yenu ni kwa faida ya nani. Mnahabarisha nini? Uhuru wenu wa kuhabarisha na weledi uko wapi?
Mnaleta sababu za ajabu ajabu mnafikiri kiila mtu ni mjinga mjinga. Mbona RFA hawana huo utoto habari zote tunazisikia bila kuchakachuliwa. Tutaamni vipi hata habari zenu za ndani mnazoripoti kama hamzipiki?
Nimefuatilia pia Mara zote Dk slaa
Anapokuwa anahojiwa na DW kuhusu sakata la bandari lazima Azam media wakate matangazo.
Mahojiano yakiisha wanarudi huu ni ukenge na uhuni, si ajabu watu wanawatuhumu mmelalia udini udini kwenye hiyo media yenu kama vipi mchukueni na kitenge ng'ombe kabisa.
Lakini nimejirizisha pasina shaka.kwamba wanafanya makusuidi huku wakisingizia matatizo ya kiufundi kwa nini habari zote ambazo zinakuwa mwiba kwa serikali mnakuwa mnakata kata matangazo yenu ni kwa faida ya nani. Mnahabarisha nini? Uhuru wenu wa kuhabarisha na weledi uko wapi?
Mnaleta sababu za ajabu ajabu mnafikiri kiila mtu ni mjinga mjinga. Mbona RFA hawana huo utoto habari zote tunazisikia bila kuchakachuliwa. Tutaamni vipi hata habari zenu za ndani mnazoripoti kama hamzipiki?
Nimefuatilia pia Mara zote Dk slaa
Anapokuwa anahojiwa na DW kuhusu sakata la bandari lazima Azam media wakate matangazo.
Mahojiano yakiisha wanarudi huu ni ukenge na uhuni, si ajabu watu wanawatuhumu mmelalia udini udini kwenye hiyo media yenu kama vipi mchukueni na kitenge ng'ombe kabisa.