Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,578
- 1,817
Ni zaidi ya miaka 2 sasa mbolea za YARA ukiulizia kwa wauzaji hawataki kuuza kwa Ruzuku, wanadai hawalipwi kwa wakati na wananunua “cash” na wao wakiuza kwa ruzuku pesa yao inachelewa sana kulipwa. Ukiwapigia YARA sio rahisi kuwapata hata simu zao ni changamoto kupokelewa na wakipokea kwa bahati mbaya wanakupa namba ya bibi shamba wao ambae naye ni changamoto kupokea simu na akipokea anakuelekeza kwa walewale wauzaji ambao wanasema hawauzi kwa ruzuku.
Hii inatupa wakati mgumu sana kwenye kulima, tunaomba serekali iangalie hili kwa umakini.
Hii inatupa wakati mgumu sana kwenye kulima, tunaomba serekali iangalie hili kwa umakini.