Mbinu za kutozungumza broken English

Mbinu za kutozungumza broken English

Jambo muhimu katika kuelewa lugha ya jamii flani ni kuuelewa kwanza utamaduni wa jamii husika,hivyo ni kusema si kila neno ama sentensi ya Kiswahili itakuwa na tafsiri yake ya Kiingereza cha moja kwa moja...kwa mfano kwa Jamii za Ulaya,China na Marekani ambazo familia huzaa watoto 1 au 2 hutarajii swali hilo liwepo katika mazungumzo yao

Ukijifunza lugha ya kigeni, unajifunza pia utamaduni wa nchi zinazotumia hiyo lugha moja kwa moja.

Lakini jibu sahihi ni kuwa kama lugha zimetoka katika mizizi tofauti, ni vigumu kupata tafsiri halisi.

Ndiyo maana hili swali la " nimezaliwa wa ngapi" linaulizwa sana.

Jaribu kutafsiri kwa Kiswahili utaona jinsi utakavyohangaika:

1. He's down to earth.

2. That dude's a creep.

3. He pleaded the fifth.

Hata Kiswahili hiki ni vigumu kutafsiri kama hujui utamaduni wa nchi vizuri.

1. Acha kunizingua, nitakuwasha!

2. Demu anajiona sana, kumbe si lolote.

3. Jamaa anapenda sana kujirusha na machangudoa wa uswazi.
 
Jambo muhimu katika kuelewa lugha ya jamii flani ni kuuelewa kwanza utamaduni wa jamii husika,hivyo ni kusema si kila neno ama sentensi ya Kiswahili itakuwa na tafsiri yake ya Kiingereza cha moja kwa moja...kwa mfano kwa Jamii za Ulaya,China na Marekani ambazo familia huzaa watoto 1 au 2 hutarajii swali hilo liwepo katika mazungumzo yao
Lakini mi sikutaka kujua kua mtoto huyu anaemuuliza swali baba yeke ni mzungu au mchina,....

Ninachotaka ni wewe kunitafsiria hayo maneno kwa kingereza, kwani ukiwa mkalimani wa lugha flani, utakuwa unawambia watu kua hilo alilo liongea flani halipo ktk tamaduni zetu?

Tu assume kua kuna mtu hafaham kiswahili lakini kasikia huyo mtoto anauliza swali hilo na yeye anaomba umfahamishe ktk lugha yake(English) kua huyo dogo anasemaje, huto mfahamisha? Au utamwambia anauliza kitu ambacho si tamaduni zenu?
 
Ukijifunza lugha ya kigeni, unajifunza pia utamaduni wa nchi zinazotumia hiyo lugha moja kwa moja.

Lakini jibu sahihi ni kuwa kama lugha zimetoka katika mizizi tofauti, ni vigumu kupata tafsiri halisi.

Ndiyo maana hili swali la " nimezaliwa wa ngapi" linaulizwa sana.

Jaribu kutafsiri kwa Kiswahili utaona jinsi utakavyohangaika:

1. He's down to earth.

2. That dude's a creep.

3. He pleaded the fifth.

Hata Kiswahili hiki ni vigumu kutafsiri kama hujui utamaduni wa nchi vizuri.

1. Acha kunizingua, nitakuwasha!

2. Demu anajiona sana, kumbe si lolote.

3. Jamaa anapenda sana kujirusha na machangudoa wa uswazi.
Tatizo wewe ndio unataka kutafsiri word to word and not meaning ya sentensi ndio maana utaona kua kuna sentensi hazina tafsiri...

Tatizo letu wabongo tunataka word to word... Ndio maana broken inaingia kirahisi ktk mazungumzo yetu.

".. Baba mimi ni mtoto wangapi kuzaliwa? ".... Sentensi hii ukitaka kuitafsiri word to word tutakesha hapa lakini ukitafsiri mantiki ya sentensi naamini jibu litapatikana,

Hii inaenda sawa kwenye baadhi ya sentensi ulizozitolea mifano hapo juu, wewe unaziona hazitafsiriki ktk lugha nyingine kwakua unataka neno kwa neno, otherwise zina tafsirika sana tu, tena zoote hapo.
 
Tatizo wewe ndio unataka kutafsiri word to word and not meaning ya sentensi ndio maana utaona kua kuna sentensi hazina tafsiri...

Tatizo letu wabongo tunataka word to word... Ndio maana broken inaingia kirahisi ktk mazungumzo yetu.

".. Baba mimi ni mtoto wangapi kuzaliwa? ".... Sentensi hii ukitaka kuitafsiri word to word tutakesha hapa lakini ukitafsiri mantiki ya sentensi naamini jibu litapatikana,

Hii inaenda sawa kwenye baadhi ya sentensi ulizozitolea mifano hapo juu, wewe unaziona hazitafsiriki ktk lugha nyingine kwakua unataka neno kwa neno, otherwise zina tafsirika sana tu, tena zoote hapo.

Sijaandika hazitafsiriki sehemu yoyote katika bango langu. Nimeandika ni vigumu kutafsiri lugha ambazo zimetoka katika mizizi tofauti.

Kama wewe ni mwalimu, utafahamu kuwa wanafunzi wa lugha huwa wana tabia ya kutafsiri kihalisi mpaka wanapojifunza zaidi.

Mifano yangu yote hutafsirika kama unafahamu lugha na utamaduni wa nchi ambayo hiyo lugha inatumiwa. That was my point. Umesema unaweza kutafsiri lakini hukutoa mfano wa tafsiri ya mifano yangu.

Na pia, kuna maneno mengine ya Kiswahili hayana tafsiri kabisa katika lugha ya Kiingereza. Kama unabisha, tafsiri hii pia :

Shikamoo/ Marahaba.

"What's up?" kwa mgeni anafikiri " kuna nini juu?" kumbe ni kusalimiana Marekani. Mwanafunzi mgeni wa lugha hawezi kujua hilo.

"How do you do?" unajibu " How do you do?" Kwa baadhi ya nchi. Ni tofauti na "How are you ?". Mwanafunzi hapa huwa anachanganyikiwa. Hapo pia ni kujua utamaduni.

Nasubiri tafsiri yako ya Shikamoo / Marahaba.
 
Ukijifunza lugha ya kigeni, unajifunza pia utamaduni wa nchi zinazotumia hiyo lugha moja kwa moja.

Lakini jibu sahihi ni kuwa kama lugha zimetoka katika mizizi tofauti, ni vigumu kupata tafsiri halisi.

Ndiyo maana hili swali la " nimezaliwa wa ngapi" linaulizwa sana.

Jaribu kutafsiri kwa Kiswahili utaona jinsi utakavyohangaika:

1. He's down to earth.

2. That dude's a creep.

3. He pleaded the fifth.

Hata Kiswahili hiki ni vigumu kutafsiri kama hujui utamaduni wa nchi vizuri.

1. Acha kunizingua, nitakuwasha!

2. Demu anajiona sana, kumbe si lolote.

3. Jamaa anapenda sana kujirusha na machangudoa wa uswazi.
Word, kudos!
 
Lakini mi sikutaka kujua kua mtoto huyu anaemuuliza swali baba yeke ni mzungu au mchina,....

Ninachotaka ni wewe kunitafsiria hayo maneno kwa kingereza, kwani ukiwa mkalimani wa lugha flani, utakuwa unawambia watu kua hilo alilo liongea flani halipo ktk tamaduni zetu?

Tu assume kua kuna mtu hafaham kiswahili lakini kasikia huyo mtoto anauliza swali hilo na yeye anaomba umfahamishe ktk lugha yake(English) kua huyo dogo anasemaje, huto mfahamisha? Au utamwambia anauliza kitu ambacho si tamaduni zenu?
Dah,labda Ungeweza kusema: "Dady,what number am I in the family" , lakini bado nasisitiza kuwa hili ni swali la utamaduni wa kiswahili ambako si ajabu kukuta familia ina watoto 10 hadi 15 na hata kuchanganya usijue yupi alizaliwa baada ya yupi.
 
Back
Top Bottom