Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,154
@Magnumpi,Pema usijapo pema, ukipema si pema tena... Kata mauno so hard.... Make em happy...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah kuna watu wametusua sana apa duniani kwa madanga ya maana ila si kwa njia ya uyu bidada.....ye anataka aanze kutafuta mwenyewe 🤣 🤣 🤣 🤣Sijawahi kusikia wala kuona mtu kafanya umalaya akatajirika ,sijawahi narudia tena wala hata kusikia.@Magnumpi,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo si ni maandishi tu mkuu kwani ajafanya jitihada?katichi, Akishapata anaenda kwenye social media anaandika caption ya "Ahsante Mungu umetenda".
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inaonekana una mawazo mazuri sana ya kujenga na kumsaidia mtu kama huyu lakini na wewe jaribu kurekebisha ka mwandiko kako,Magnumpi,
hawa ndio wanao soma handout kwa ajili ya kujibu mtihani dada yangu elimu yako aijakusaidia hivi unazani hii ni platform ya kijinga wewe auwezi kusaidika kamwe poor you...
Mwambie anyonye na mkuyenge kabisa afyonze na supu kabisaa!lazima atapewa usaidizi wa meneja!!!Mchunguze kigogo unaekutana nae anafanya shughuli gani, amesoma masomo gani. Kwa mfano Bwana S amesomea uchumi ni meneja wa benki, tafuta majarida ya uchumi na benki u some uwe na basic knowledge ya dunia anayoishi hapo hamtakosa cha kuongea.
Usiulize maisha yake na ya mkewe hayo hayakuhusu.
Toa first class service.
Magnumpi
sijakuelewa mkuuMkuu inaonekana una mawazo mazuri sana ya kujenga na kumsaidia mtu kama huyu lakini na wewe jaribu kurekebisha ka mwandiko kako,
Sent using Jamii Forums mobile app