Kama nimepewa mimi hii scene.
Usitumie hata njia moja hapo, utaishia kuonekana kaka na hamna mwanamke yupo tayari kulala na kaka yake.
.
1. Kuwa mcheshi kwa kiwango chako, sio lazima uwe MC Pilipili.
2. Mchombeze. Piga naye stori lakini kwa ukomo sio siku nzima.
3. Vyombo ni kazi yake. Usijitolee kumsaidia kitu kwa kujipendekeza upendwe, we kama iyo siku umeamka na hamu ya kufagia, fagia ila sio kwa sababu ya kumsaidia.
4. WEKA MIPAKA.
5. Mguse, mtomase, mpakate ila taratibu taratibu mpaka mkate ulainike.
6. Mambo yako ni yako, sio lazima ayajue.
7. Mfanye ajisikie amani, furaha na ajiachie kwako.
8. Usiombe kumkiss au show, we mkiss na fanya.