Harald Dad
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 353
- 263
Yamenikuta nimeterekeza nyumba ila nasikia na yeye ameamua kuja kupanga nyumba ya pili tu toka yetu kaaaazi kweli kweli Asante mtoa uzi
Tupe story ilivyokua mdauYamenikuta nimeterekeza nyumba ila nasikia na yeye ameamua kuja kupanga nyumba ya pili tu toka yetu kaaaazi kweli kweli Asante mtoa uzi
Kwa kumbe nyie ni waongoooo.... Ni sawa na nyie kufanyiwa tricks
Wapo kijijini mkuuHivi mnawapata wapi wanawake wanaovaa chupi tena sikuhizi?
Alikataa kutoka nikamfungia ndani ahhahahaIlikuaje mdau..Hembu share tupate maujuzi
Duu mwana mbishi..Enhe ikawaje baada ya kumfungiaAlikataa kutoka nikamfungia ndani ahhahaha
Mnyakyusa HAIWEZI ichoka papuchi mkuuUtaichoka papuchi mkuu then kifuatacho ni kugombana
Usiongee kama umekula maharage ya kuchacha wewendoa ya mwanamke mpumbavu na mvulana wake ndio inakua hivyo ahahaaaa
Amna banaUkimwambia hivyo ndo ushakosa utamu
Wengine ndo wanachukulia mikosi humohumokwanini uwe na mwanamke ambaye huna mpango naye katika maisha yako ,huoni kwamba nikupoteza mda na kuchezea hisia zako.
Basi kubalini kugandwa tuNani atakubali umwambie hivyo na akakupa papuchi? Na akikubali basi itakua kuchunwa kwa sana, bora kudanganya tu.