Mshikemshike
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 421
- 208
Apo hamna ndoa na ata ikiwepo kuvunjika haizid miaka 2
Noma sana mdau ma house g ni balaa zaidiSasa ukitafuta h.girl ndo umekwepa nn! Yatakuwa yaleyale, bora hata huyo aliejileta, hebu jiulize umerudi hom night halafu h.grl anapita pita na kikanga eti anaandaa chakula, anavimaziwa flan hivi! Simwachi asee Labda niwe nimekufa"
Wanataka wenyewe na wakizileta watu wanakula tuWashtue waache kuchezea binti za watu..... Sio wagongegone tu watt wa watu kwa style Ya hit-and-run.
Nimekuharibia nn? HahaaaaMuanzisha uzi Pumbavu kabisa....
LOL
Hujakamatika ndo mana unasema hivyondoa ya mwanamke mpumbavu na mvulana wake ndio inakua hivyo ahahaaaa
Hapa asipokuwa makini anaweza akawa ndio ameoa tayari!Tafuta housegirl ama jitahidi kupambana na uvivu
Utaichoka papuchi mkuu then kifuatacho ni kugombanaMm demu akihamia ntafurahi sana!Papuchi guaranteed nani hapendi?
Ahamie hata leo aisee
Kwani mpaka unaenda kutoa papuchi hujui hiloMuwe mnaambiana mapema kwamba no future ni kutumiana kwamda flani kila mtu ale kona hakuna kugandana
A wise man, your dad. A man after my own heart.Baba yangu mzazi aliniambia maneno mazuri Sana wakati ule nikiwa bachelor,"kamwe usije mpeleka msichana sehem unayoishi halafu ulale naye Kama huna intention ya kumuoa".