Ulitumia mbinu gani kumkamataKuna mmoja tulimuwekea mtego akajaa vizuri kilichofuata mpaka anaiaga dunia hii hatasahau alikula kipigo heavy na tukamsachi kila kitu alikuwa lap top na smart phone tatu power bank mbili wallet ilikuwa na 90000/= tukamvua nguo alibaki na boxer tu washenzi sana hawa jamaa wanajifanya wajuaji ili hali wengine tuna ujuaji kombinenga
Lakini mlimuonea.Tulimtumia tu mtoto wa kike ambaye ambaye alijifanya ana matatizo ya uzazi ikatumwa na 50000 mara ya kwanza huku na huku wakakubaliana wakutane kona ya BWIRU demu akarudi akasema kuwa mshikaji inaonekana ni tapeli amekaa tu kisharobaro amemwambia apeleke 600000 hapo hapo nasi tukaliunga tulikuwa wa kwanza kufika hotelin kabla yao akaja na na vitu vyake wakakaa wakaongea tunamhesabia tu dakika ya mwisho tulimfuata tukamwambia asiongee chochote asimame kimya kimya tukijifanya tumefumania tukaondoka wote ttukakodi taxi mpaka kisesa tukamuingiza chocho alikula kichapo mbona alilia kilugha cha kwao sachi kila kitu
Hiyo ndio dawa mubashar natamani ningekuwepo hapo kuna kumbukumbu moja hamjamuachia aisee.Tulimtumia tu mtoto wa kike ambaye ambaye alijifanya ana matatizo ya uzazi ikatumwa na 50000 mara ya kwanza huku na huku wakakubaliana wakutane kona ya BWIRU demu akarudi akasema kuwa mshikaji inaonekana ni tapeli amekaa tu kisharobaro amemwambia apeleke 600000 hapo hapo nasi tukaliunga tulikuwa wa kwanza kufika hotelin kabla yao akaja na na vitu vyake wakakaa wakaongea tunamhesabia tu dakika ya mwisho tulimfuata tukamwambia asiongee chochote asimame kimya kimya tukijifanya tumefumania tukaondoka wote ttukakodi taxi mpaka kisesa tukamuingiza chocho alikula kichapo mbona alilia kilugha cha kwao sachi kila kitu
TIGO KWA FASIHiyo ndio dawa mubashar natamani ningekuwepo hapo kuna kumbukumbu moja hamjamuachia aisee.
Waapuzi sana hawa majuzi wamemkalisha barabarani uchi mke wa mtu .Kuna mmoja tulimuwekea mtego akajaa vizuri kilichofuata mpaka anaiaga dunia hii hatasahau alikula kipigo heavy na tukamsachi kila kitu alikuwa lap top na smart phone tatu power bank mbili wallet ilikuwa na 90000/= tukamvua nguo alibaki na boxer tu washenzi sana hawa jamaa wanajifanya wajuaji ili hali wengine tuna ujuaji kombinenga