Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,311
- 4,019
Dawa ya deni ni kulipa, hakuna namna.
Ila kama mtu ana uwezo wa kupenyeza hadi kupata taarifa za walio kwenye simu yako na kuwatumia meseji ni hatari kwa usalama wako binafsi.
Sawa watu wana paswa kusoma terms and conditions lakini kama hiki kipengele cha kudukua taarifa za simu za wateja kipo basi hii ni cyber crime.
Next time staffs wa hapo wataweza ku-hack taarifa za benki na mobile money zako kwa style nyingine na kupelekea kukuibia pesa zako zote.
It is dangerous.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Ila kama mtu ana uwezo wa kupenyeza hadi kupata taarifa za walio kwenye simu yako na kuwatumia meseji ni hatari kwa usalama wako binafsi.
Sawa watu wana paswa kusoma terms and conditions lakini kama hiki kipengele cha kudukua taarifa za simu za wateja kipo basi hii ni cyber crime.
Next time staffs wa hapo wataweza ku-hack taarifa za benki na mobile money zako kwa style nyingine na kupelekea kukuibia pesa zako zote.
It is dangerous.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app