Lipo jambo linalomkwaza yule mama na wala sio suala la yeye kuwepo kazini. Tena ujue hata kama mumewe atafanikisha analokusudia yeye na chama chake kwa michezo yao haramu inayoweza kuishia kumwaga damu ya raia pia mama anaweza kukataa huo u-first lady na kumwambia mumewe aende mwenyewe ikulu nae akabaki na wanae wanapoishi. Yule mama anaonekana ni mchamungu wa kweli na anayaelewa vilivyo maovu na udhaifu wa mumewe nae hataki kuchafuka nae.Kwa kuwa nae bado anaiheshimu ndoa yake takatifu ndio maana bado yupo na huyu mume vinginevyo kwa wanawake wengine kwa Magufuli kuwa na wanawake wa nje hadi kuwahonga majumba na kusimamia mahoteli kama tunavyosoma humu jf inataka mwanamke aliefundwa kisawasawa. Usishangae hata ushawishi wa mama Maria usifue dafu pale.