Mbinu mpya ya CCM; Tuwe makini

Mbinu mpya ya CCM; Tuwe makini

Hilo la kumtumia Slaa inabidi watafakari kwa kina yasije yakamsibu yale ya Mtikila kule Tarime alipokubali kutumika kama tambara mwishowe akapopolewa kwa mawe.
 
Mshaona mambo magumu mmekuwa na mchechetu!

Kwi kwi kwi teh teh teh,

Bado.

Jana Lowassa kashindwa kuhutubia ikabidi awahishwe Mwanza, leo tuone ataweza dakika ngapi?

Ninasema tutamchagua Lowasa,awe anaumwa,awe mzee,awe hajui kuongea,tutamchagua.
Haya sio mashindano ya nani anaweza kuongea kama chiriku na Tanzania inahitaji Rais zaidi kuliko mashine ya kutunzia kumbukumbu!!
Ikulu kuna computer!!!!
Oyooooooooo!!!
Peeeeooooopleeeees!!!!
 
Anaelewa hiyo kazi ni yamumewe na anatakiwa kuchaguliwan watu na si yeye kumad watu ndio waone muimu wa kumchagua mgufui! BIG UP MWALIM
 
kwani ile mbinu ya kuiba kura na goli ya mkono imekuaje......kama ile mbinu bado ipo...c walale tu wapumzike wasubiri kuiba...naona km cost itkuwa mara mbili kwao..
 
hata aje Obama kuwasaidia kufanya kampeni, CCM hawatoboi round hii ni Ukawa tu.
 
lakini akipanda jukwaani ,mtasema oh huyu mtumishi wa umma ,analipwa Na serikali why ashiriki siasa!!


lakini ni Wapi inaweza kuthibitishwa kama kweli amekataa?!

labda hana ule uwezo wa public speaking!!

Mbona mgombea urais kupitia Act mwandiga hafuatani na munewe
 
CCM wana kazi ngumu sana! Maana ndani ya CCM kuna mamluki wa UKAWA kila watakalopanga litafichuka. Kuna mpasuko ndani ya CCM wanaigiza kulinda kazi zao lakini hakika watampigia Lowasa Kura,kila watakalofanya litawekwa hadharani na wana madiliko waliojioficha ndani ya CCM.Bye bye chichiem rest in peace mamii!
 
Back
Top Bottom