Mbinu mpya ya CCM; Tuwe makini

Mbinu mpya ya CCM; Tuwe makini

Ikulu imekua uchochoro au kijiwe flani hivi ndio maana tunahitaji mabadiliko makubwa sana
 
Mshaona mambo magumu mmekuwa na mchechetu!

Kwi kwi kwi teh teh teh,

Bado.

Jana Lowassa kashindwa kuhutubia ikabidi awahishwe Mwanza, leo tuone ataweza dakika ngapi?
 
Itakuwa ni kituko cha karne kumuona Dr. Mihogo akiwa jukwaani akimpigia kampeni Magufuri wazi wazi. Hata mwananchi mwenye uwezo wa chini mno katika kufikiria atajua kuna namna tu. Na hii badala ya kuwasaidia CCM, itazidi kuwaharibia. Kura za chuki zitaongezeka. Heko CCM kuzidi kujichimbia kaburi. You deserve it.
 
lakini akipanda jukwaani ,mtasema oh huyu mtumishi wa umma ,analipwa Na serikali why ashiriki siasa!!


lakini ni Wapi inaweza kuthibitishwa kama kweli amekataa?!

labda hana ule uwezo wa public speaking!!

Huwa hawana Sera ni matukio
 
Yaani fisi em ni vilaza hataree, yaani wanashindwa kubuni brands zao?!..., kweli ma fisi em vilaza.
 
CCM hawana sababu ya kufanya hvyo.Ile kuimanipulate M4C haıkuwa kuitumia km slogan.Unapokuwa kwenye jukwaa la siasa licha kukazana na wanaokuunga mkono,ni lazima ujitahdi kuwavuta wale wasıokuunga mkono.Km UKAWA hamna mtazo huo mmekwisha.

Walikwisha toka Zamani hawa
 
Mshaona mambo magumu mmekuwa na mchechetu!

Kwi kwi kwi teh teh teh,

Bado.

Jana Lowassa kashindwa kuhutubia ikabidi awahishwe Mwanza, leo tuone ataweza dakika ngapi?

Yule Mzee mpaka huwa namuhurumia hahahaha
 
Back
Top Bottom