Mbinu mpya ya CCM; Tuwe makini

Mbinu mpya ya CCM; Tuwe makini

kwa nini CCM saiv wanaigaiga tu? Wameiga mengi ya UKAWA. mfano utaratibu wa wanawake kukaa mbele kwenye mikutano, namna ya kunyoosha mikono kwenye mikutano na kusema mchakamchaka, namna ya kubandika mabango. Mbaya zaidi sera za Magufuli ni za UKAWA mfano neno MABADILIKO, maskini wa Mungu bila kutafakari mamedesa M4C. CCM ni chama kilichodumaa hakina uwezo wa kubuni tena

Kumbe nyumbu mpo wengi sana.....!!!!!!
 
Jipeni moyo tu...mke wa magufuli kishasema hawezi kuambatana na mtu asiye muaminifu kwenye ndoa yake...amchukue yuke akiyemhomga nyumba na kumjaza mimba pale mabibo hostel

Au akuchukue wewe uwe first lady.
 
Kumbe nyumbu mpo wengi sana.....!!!!!!

Ndio utashangaa mwaka huu nyumbu wanapiga kura ya raisi

Ninasema tutamchagua Lowasa,awe anaumwa,awe mzee,awe hajui kuongea,tutamchagua.
Haya sio mashindano ya nani anaweza kuongea kama chiriku na Tanzania inahitaji Rais zaidi kuliko mashine ya kutunzia kumbukumbu!!Ikulu kuna computer...

Iwe ataleta maendeleo au la,tutamchagua kuionyesha dunia kuwa,Tanzania ni ya watu wote!
Oyooooooooo!!
Woyo woyo woyoooo!

asanteee!
Peeeeooooopleeeees!!!!
 
Yaani huyu February tamaa ya uwaziri mkuu itamuumbua
 
Jana kilifanyika kikao cha dharura Ikulu baada ya Mbatia kumaliza kuhutubia, na walikubaliana yafuatayo;

1. January Makamba amjibu Mbatia ili kupunguza concentration ya watu kwenye hotuba ya Mbatia. (Hili limetekelezwa).

2. Magufuli atumie brand name ya M4C ili kuwachanganya wapiga kura. Wanaamini kuna wapiga kura hawamjui Magufuli lakini wakiambiwa M4C watampigia kura. Hii idea ilitolewa na January. (Hili limeanza kutekelezwa kwa kuchapisha mabango mengi yenye lebo ya M4C wakidai ni Magufuli 4 Change).

3. Mama Maria Nyerere atumike kuongea na mke wa Magufuli ili akubali kuambatana na mumewe kwenye mikutano ya Kampeni. Ikumbukwe mke wa Magufuli (mama Mawalwa) amekataa kuambatana na mumewe kwa sababu anazodai ni za kifamilia. Mama Salma Kikwete, Tunu Pinda na Magreth Sitta (ambao wote ni waalimu) wamejaribu kuongea na mwalimu mwenzao lakini amekataa. So karata ya mwisho iliyobaki ni Maria Nyerere.

4. Dr.Wilbroad Slaa apandishwe jukwaani wiki mbili za mwisho kumnadi Magufuli. Akirudi kutoka Marekani atafanya press aeleze kuwa baada ya kutafakari ameona mgombea anayefaa ni Magufuli. Baada ya hapo ataanza kutembea nae kumnadi huku akitumia hoja ya ufisadi kumchafua Lowassa. Wanaamini hii itapunguza sana nguvu ya UKAWA.

wakimpandisha slaa na sisi tutamuomba gwajima atuambie japo kwa siri ile isue ya south africa na hao vijana na slaa alafu tutamuanika
 
Jana kilifanyika kikao cha dharura Ikulu baada ya Mbatia kumaliza kuhutubia, na walikubaliana yafuatayo;

1. January Makamba amjibu Mbatia ili kupunguza concentration ya watu kwenye hotuba ya Mbatia. (Hili limetekelezwa).

2. Magufuli atumie brand name ya M4C ili kuwachanganya wapiga kura. Wanaamini kuna wapiga kura hawamjui Magufuli lakini wakiambiwa M4C watampigia kura. Hii idea ilitolewa na January. (Hili limeanza kutekelezwa kwa kuchapisha mabango mengi yenye lebo ya M4C wakidai ni Magufuli 4 Change).

3. Mama Maria Nyerere atumike kuongea na mke wa Magufuli ili akubali kuambatana na mumewe kwenye mikutano ya Kampeni. Ikumbukwe mke wa Magufuli (mama Mawalwa) amekataa kuambatana na mumewe kwa sababu anazodai ni za kifamilia. Mama Salma Kikwete, Tunu Pinda na Magreth Sitta (ambao wote ni waalimu) wamejaribu kuongea na mwalimu mwenzao lakini amekataa. So karata ya mwisho iliyobaki ni Maria Nyerere.

4. Dr.Wilbroad Slaa apandishwe jukwaani wiki mbili za mwisho kumnadi Magufuli. Akirudi kutoka Marekani atafanya press aeleze kuwa baada ya kutafakari ameona mgombea anayefaa ni Magufuli. Baada ya hapo ataanza kutembea nae kumnadi huku akitumia hoja ya ufisadi kumchafua Lowassa. Wanaamini hii itapunguza sana nguvu ya UKAWA.

Hata wabinuke watu tushaamua kutokugeuka nyuma atakae.geuka anakuwa jiwe la chumvi.
 
CCM inakufa vibaya mbona kweli hili la kuvunda halina ubani.R.I.P CCM mara hii hamtoki mtatoa kama wanigeria kupitia BVR.
 
Sometimes we must take such risks to give the country back to the people!

Hao pipo unaowasema na kutuaminisha ndio hawa wanakinzana kila kukicha au unamaanisha hawa vijana wa boda boda na wengineo. sawa mnyetishaji wetu.
 
Back
Top Bottom