neverthatserious
Senior Member
- Jun 1, 2012
- 106
- 13
Kweli kbs, mimi bila hela wala hunipati.
Ninazo za kutosha, ni PM namba yako.
Kweli kbs, mimi bila hela wala hunipati.
Ndio tunapenda pesa mapenzini lakn binafsi simkubali mwanaume kwa sababu tu ana pesa, kwa sababu tu ana pesa. Ni lazima mwanaume akidhi na vigezo vingine.
Wadhungu wanasema Money talks!!
wadhungu wanasema
Money talks!!
sio kila mwenye jinsi(a) ya kike ni mwanamke, wengine wanaishia kua wasichana siku zote za maisha yao
it is very unfortunate hiyo mbinu itakusaidia kuishia kupata msichana (mwanamke wa kweli thamani yake haiwezi kufikiwa kwa mali yoyote)/sex na sio upendo/mapenzi ya kweli ninayoamin ni ya muhimu zaidi be it in digital world au wakati mwingine wowote!
nipo poa sana mkuu