Tuna utawala duni na wa ajabu nyakati hizi kuliko wakati wowote. Watawala wamenyimwa hekima, ufahamu na maono, kwani wanajitengenezea kaburi lao wenyewe.
Wajinga wanaamini kuwa kulishambulia Kanisa Katoliki la Roma, kutalidhoofisha, bila ya kufahamu kuwa Wakristo wote ni Wakatoliki. Katoliki ni Kanisa la Ulimwengu. Waanglikana ni wakatoliki, waKKKT ni wakatoliki, waOrthodox ni wakatoliki, na makanisa mengine yote ya baadaye ni wakatoliki kwa sababu ndiyo asili yao, ni wakatoliki wasio chini ya mamlaka ya Roma.
Ndiyo maana wale wakatoliki wa Roma wanaitwa Roman Catholic, kwa sababu wapo wakatoliki wengi ambao siyo Roman. Ukiwagusa wasabato, waTAG, waanglikana, waKKT, waOrthodox na madhehebu yote ya Kikristo yenye msingi wa mafundisho ya Kristo, basi umewashambulia wakristo wote.
Ushetani unaofanywa na utawala wa Samia, na watu wanafiki kama Mwigulu akisaidiwa na wapuuzi kama Ludovick na wale mashekhe ubwabwa kuwashambulia wakatoliki walio chini ya Roma, wajue wanawashambulia wakatoliki wote Duniani, yaani wakristo wote bila ya kujali wakristo hao wapo chini ya mamlaka ya Roma, Kanisa la Mashariki au chini ya mamlaka za utawala zinazojitegemea.
Unayeshambulia Kanisa lolote, anaushambulia ukristo Dunia nzima.
Ushetani unaofanywa dhidi ya TEC, ambao waandaaji wanategemea utawadhoofisha wakatoliki wa chini ya mamlaka ya Roma, ni wajinga wa ajabu, wasichokijua ni kuwa wanaimarisha umoja wa Wakristo nchini na Duniani kote.
Kanisa la Kristo siyo dhehebu bali ni mafundisho ya Kristo ambaye ni mwanga, chanzo cha uhai, njia na uzima wa milele. Kristo aliye chanzo cha upendo, umoja na pekee aliye njia ya kwenda mbinguni, ndiye mwanzilishi wa Kanisa lake la Ulimwengu, ndiye mlinzi mkuu, ndiyo maana shetani na mawakala wake wote kamwe hawajawahi kuliangamiza Kanisa.
Wakristo hatutenganishwi umoja wetu eti kwa sababu hawa wanabatizwa kwa maji mengi au kidogo, wala eti kwa sababu hawa wanasali Jumapili au Jumamosi, umoja wetu umehengwa katika Kristo yetu aliye chanzo cha upendo, umoja, na njia pekee ya kumfikia Baba wa mbinguni.
Samia na Mwigulu, wajue wataangamia wao, lakini siyo Kanisa Katoliki, Kanisa baba la ukristo. Nawaonea huruma sana Samia na Mwigulu maana wanajitengenezea mwisho wao mbaya hapa Duniani na katika umilele. Waombeeni hawa watu ili waweze kuwa huru kutoka kwenye utumwa wa shetani.
Angalieni walivyowachukua vijana wajinga waislam na makada wa chama chao cha mauaji, na kuwataka wajifanywe kuwa ni wakatoliki. Wote ambao majina yao yametambulika mlaka sasa, ni waislam, wapambe wa CCM. Badala ya kuwasaidia vijana hawa kutenda mema, wanawasajili kuwa watumishi waaminifu wa shetani.
Wajinga wanaamini kuwa kulishambulia Kanisa Katoliki la Roma, kutalidhoofisha, bila ya kufahamu kuwa Wakristo wote ni Wakatoliki. Katoliki ni Kanisa la Ulimwengu. Waanglikana ni wakatoliki, waKKKT ni wakatoliki, waOrthodox ni wakatoliki, na makanisa mengine yote ya baadaye ni wakatoliki kwa sababu ndiyo asili yao, ni wakatoliki wasio chini ya mamlaka ya Roma.
Ndiyo maana wale wakatoliki wa Roma wanaitwa Roman Catholic, kwa sababu wapo wakatoliki wengi ambao siyo Roman. Ukiwagusa wasabato, waTAG, waanglikana, waKKT, waOrthodox na madhehebu yote ya Kikristo yenye msingi wa mafundisho ya Kristo, basi umewashambulia wakristo wote.
Ushetani unaofanywa na utawala wa Samia, na watu wanafiki kama Mwigulu akisaidiwa na wapuuzi kama Ludovick na wale mashekhe ubwabwa kuwashambulia wakatoliki walio chini ya Roma, wajue wanawashambulia wakatoliki wote Duniani, yaani wakristo wote bila ya kujali wakristo hao wapo chini ya mamlaka ya Roma, Kanisa la Mashariki au chini ya mamlaka za utawala zinazojitegemea.
Unayeshambulia Kanisa lolote, anaushambulia ukristo Dunia nzima.
Ushetani unaofanywa dhidi ya TEC, ambao waandaaji wanategemea utawadhoofisha wakatoliki wa chini ya mamlaka ya Roma, ni wajinga wa ajabu, wasichokijua ni kuwa wanaimarisha umoja wa Wakristo nchini na Duniani kote.
Kanisa la Kristo siyo dhehebu bali ni mafundisho ya Kristo ambaye ni mwanga, chanzo cha uhai, njia na uzima wa milele. Kristo aliye chanzo cha upendo, umoja na pekee aliye njia ya kwenda mbinguni, ndiye mwanzilishi wa Kanisa lake la Ulimwengu, ndiye mlinzi mkuu, ndiyo maana shetani na mawakala wake wote kamwe hawajawahi kuliangamiza Kanisa.
Wakristo hatutenganishwi umoja wetu eti kwa sababu hawa wanabatizwa kwa maji mengi au kidogo, wala eti kwa sababu hawa wanasali Jumapili au Jumamosi, umoja wetu umehengwa katika Kristo yetu aliye chanzo cha upendo, umoja, na njia pekee ya kumfikia Baba wa mbinguni.
Samia na Mwigulu, wajue wataangamia wao, lakini siyo Kanisa Katoliki, Kanisa baba la ukristo. Nawaonea huruma sana Samia na Mwigulu maana wanajitengenezea mwisho wao mbaya hapa Duniani na katika umilele. Waombeeni hawa watu ili waweze kuwa huru kutoka kwenye utumwa wa shetani.
Angalieni walivyowachukua vijana wajinga waislam na makada wa chama chao cha mauaji, na kuwataka wajifanywe kuwa ni wakatoliki. Wote ambao majina yao yametambulika mlaka sasa, ni waislam, wapambe wa CCM. Badala ya kuwasaidia vijana hawa kutenda mema, wanawasajili kuwa watumishi waaminifu wa shetani.