Mbinguni ni wapi?

Mbinguni ni wapi?

Mbona mtoa mada unachanganya kati ya mbingu na universe

sayari zote,nyota,jua,Galax, mawe na vitu vyote vilivyo kwenye space kiujumla inaitwa THE UNIVERSE sasa katika iyo universe ndipo mwanadamu anao uwezo wa kwenda katika kila kimoja kasoro vitu vyenye changamoto ya kusogelewa kama jua

NB: katika vitu vinavyotengeneza The universe mbingu haipo ata kidogo kwaiyo unaposema binadamu anauwezo wa kwenda angani ni kusavei katika hii universe lakini sio mbinguni ambapo kwenda huko kunaitaji roho na mwili
Kwahio wakina waliojenga mnara wa babeli walikuwa na roho...mbona mungu aliwazuia wasifike huko??
 
Mkuu kutokana kitabu cha Jasher biblia na kitabu cha enoko mbingu haipo duniani ila ipo katika hii hii universe sema imefichwa yaani macho ya mwili wa kawaida huwezi iona kama ambavyo kuzimu ipo humu humu dunia call it hell,hades or Tertullus ipo hapa duniani ila ukiwa katika mwili wa nyama huwezi kuiona mpaka siku ya siku ifike

Ni sawa tu na mapepo na malaika huwa wanazunguka duniani ila ni vigumu kuwaona kwa naked eyes labda itokee coincidence tu ya kimazingara ndio hivyo hivyo hata Mbingu haiwezi kuonekana kwa macho ingawa kweli ipo na naamini hivyo sababu wote walionyakuliwa kwenye bible akiwemo Enoko na Elijah walichukuliwa na magari ya farasi wa moto na kupaa angani meaning kweli Mbingu iko somewhere kwenye universe

Kuhusu mnara wa babeli kwamba kivp walitaka kufika mbinguni labda nieleze tu msimamo wangu siku zote tokana na tafiti nlizofanya ni kwamba mnara wa babeli ulikuwa sio mnara mkubwa wa kufika mawinguni kama wengi wanavyofikiri ila ilikuwa na Ziggurat yaani kama pyramid alafu juu linakuwa flat ..... Sema walitaka kufika mbinguni KIROHO yaani matambiko ya hapo yalikuwa sio mchezo yaliongozwa na watu kama Nimrod,mzimu wa king horus pamoja na Mardon hivyo Mungu aliona wana nia haswa ya kutaka kuiona mbingu kiroho

Mungu hakutishwa nao ila aliona tu nia yao ni mbaya ndio maana akaona awasambaratishe kabla hawajavuka mipaka na kufanya uovu zaidi maana nia mbaya hupelekea ubaya.....

Kwa wale watakaosema mnara ulijengwa kuelekea mawinguni wajue leo kwamba hakuna ushahidi wa mnara huo ila ziggurat zipo nyingi tokea miaka ya Nuhu mpaka leo zipo hivyo nikaona hoja hii ina mashiko zaidi kwamba walitaka wamfikie KIROHO sio kimwili kama wengi wanavyohisi
Ancient_ziggurat_at_Ali_Air_Base_Iraq_2005.jpg

Ziggurat of Ur - Wikipedia
 
Miale inayokuja duniani in rangi mbalimbali lakini rangi ya blue ina wavelength fupi hivyo inakuwa rahisi kutawanywa hiyo inapelekea macho yako kuona rangi ya blue lakini kiukweli kuna rangi nyingi!...Umeshajiuliza nini kinatokea unaona Upinde wa Mvua (rainbow)?. Hebu ingiza translate hiki kipande!.
Nashukuru kwa elimu mkuu, sasa naomba unisaidie haya, ikiwa blue colour it has shorter wavelength kwa uelewa wangu scatterng inatokea karibu na uso wa jua,, sasa je inakuwaje rocket wadai zinapita juu ya ile blue, inamaana rocket zinapita karibu na jua? Pili ukifanya dispersion ya light kwa mwanga wa jua blue unikuta, sasa nashindwa kuelewa hii blue ya disperion ni ipi na blue ya scatering ni ipi ikiwa mwanga ni huo huo?
 
Nashukuru kwa elimu mkuu, sasa naomba unisaidie haya, ikiwa blue colour it has shorter wavelength kwa uelewa wangu scatterng inatoke karibu na uso wa jua,, sasa je inakuwaje rocket wadai zinapita juu ya ile blue, inamaana rocket zinapita karibu na jua? Pili ukifanya dispersion ya light kwa mwanga wa jua blue unikuta, sasa nashindwa kuelewa hii blue ya disperion ni ipi na blue ya scatering ni ipi ikiwa mwanga ni huo hui?
izi swali nzito nzito ifikie pont tukubali tu brain ina limitation yake
 
Unaposema mbingu ijaelezwa kwamba ni kitu physical kinachoweza kuonekana ila ni ila akili ya binadamu ndio inayofosi kiwe kitu physical kinachoweza kuonekana mfano mbona tunaposema kuna O zone layer aionekani kwa macho ndio hivohivo ilivyo mbimbu unajua elimu ya kuusu mungu ndio elimu ngumu ila mungu kajaribu kuirahisisha iendane na akili na uwelewa wa binadamu mfano mungu hana sifa kama ya binadamu mfano kusikia nisifa ya binadamu ila endapo binadamu anaelezewa kuusu mungu inabidi iandikwe hivi "mungu alimsikiliza" kwahivyo mungu anawekewa sifa ambayo binadamu kwa limitation yake ya ubongo ataelewa ila mungu ana sifa ya binadamu ya kusikia sasa indapo utajiuliza hivi, je mungu hana sifa ya kusikia sasa anawezaje kusikia viumbe wake apo ndipo upati jibu mpaka unakufa kwahivyo mungu inabidi uwelewe ubongo wa binadamu uko limited na mambo mengine
 
Mbona mtoa mada unachanganya kati ya mbingu na universe

sayari zote,nyota,jua,Galax, mawe na vitu vyote vilivyo kwenye space kiujumla inaitwa THE UNIVERSE sasa katika iyo universe ndipo mwanadamu anao uwezo wa kwenda katika kila kimoja kasoro vitu vyenye changamoto ya kusogelewa kama jua

NB: katika vitu vinavyotengeneza The universe mbingu haipo ata kidogo kwaiyo unaposema binadamu anauwezo wa kwenda angani ni kusavei katika hii universe lakini sio mbinguni ambapo kwenda huko kunaitaji roho na mwili
kama ndo hivyo,kwanini lile ghorofa la babel ambalo nina hakika halikuwa na urefu wa zaidi ya ghorofa 5 za kileo lilitishia amani mpaka ikabidi mungu alisambaratishe?,

au kwanini kina moses na yesu wakitaka kuongea na mungu walipanda kilimani?
 
Nashukuru kwa elimu mkuu, sasa naomba unisaidie haya, ikiwa blue colour it has shorter wavelength kwa uelewa wangu scatterng inatokea karibu na uso wa jua,, sasa je inakuwaje rocket wadai zinapita juu ya ile blue, inamaana rocket zinapita karibu na jua? Pili ukifanya dispersion ya light kwa mwanga wa jua blue unikuta, sasa nashindwa kuelewa hii blue ya disperion ni ipi na blue ya scatering ni ipi ikiwa mwanga ni huo huo?
Uta Uta naomba fungua uzi weka kichwa cha habari 'Kwanini anga la blue' au weka vyovyote mradi haya maswali utayauliza kule!.
sio kwamba nashindwa kukuelekeza lakini huu uzi mada ilikua "Mbingu ni wapi?" hii itafanya tusimharibie Da'Vinci uzi wake kwa maswali tofauti!..Plz do that!.
 
Huenda mbinguni ni kila mahali kwa kuwa Mungu yupo kila mahali. Is complicated issue. God must exist as the cause of the universe, but what he is like is undiscoverable by any process of analysis or reasoning and his nature therefore cannot be made a subject of philosophical research or argument. You philosophers stop at once to prove the existence of God.
 
Uta Uta naomba fungua uzi weka kichwa cha habari 'Kwanini anga la blue' au weka vyovyote mradi haya maswali utayauliza kule!.
sio kwamba nashindwa kukuelekeza lakini huu uzi mada ilikua "Mbingu ni wapi?" hii itafanya tusimharibie Da'Vinci uzi wake kwa maswali tofauti!..Plz do that!.
Ok nimekusoma mkuu, tuendelee na mada
 
Nashukuru kwa elimu mkuu, sasa naomba unisaidie haya, ikiwa blue colour it has shorter wavelength kwa uelewa wangu scatterng inatokea karibu na uso wa jua,, sasa je inakuwaje rocket wadai zinapita juu ya ile blue, inamaana rocket zinapita karibu na jua? Pili ukifanya dispersion ya light kwa mwanga wa jua blue unikuta, sasa nashindwa kuelewa hii blue ya disperion ni ipi na blue ya scatering ni ipi ikiwa mwanga ni huo huo?
Mkuu usisahau kunitag ukifungua uzi wako, Lakini kulijibu short swali hakuna sehemu ambayo unapata rangi ya blue ila kuna eneo ambalo miale ya jua ikifika ndio inatawanywa!..
Upeo wa macho yako unafanya uhisi sehemu fulani angani ukifika kuna rangi ya blue kitu ambacho sio.
Miale inapotoka kwenye jua ikaifikia sayari yetu kuna layer inapofika inakutana na molecules za aina mbalimbali, vumbi kulingana na shughuli za sehemu husika, kuna moshi wa viwandani, ukungu, barafu na shughuli zingine za kibinadamu zinazopelekea kuharibu/kuchafua anga sasa hivi vyote vinapelekea ile miale itawanye huko angani, kuna kitu kinaitwa sky radiation na kwa vile miale ya blue ina wavelengths fupi kuliko mingine basi inapelekea yenyewe itawanywe eneo kubwa zaidi na ndio maana unaona anga lote la blue, lakini kiuhalisia kuna maeneo anga lao sio blue kama unayoiona wewe huku!..
Na hiyo blue unayoiona ni pale jua linapokuwa direct juu yako lakini likienda upande unapata rangi nyingine sababu miale inayokuja na kutawanywa blue inakuwa weak so unakuta unaona rangi nyekundu au njano au zingine (asubuhi n jioni).
Kuhusu rocket kupita kwenye ublue na jua nahisi unatania haupo serious
 
Mbona mtoa mada unachanganya kati ya mbingu na universe

sayari zote,nyota,jua,Galax, mawe na vitu vyote vilivyo kwenye space kiujumla inaitwa THE UNIVERSE sasa katika iyo universe ndipo mwanadamu anao uwezo wa kwenda katika kila kimoja kasoro vitu vyenye changamoto ya kusogelewa kama jua

NB: katika vitu vinavyotengeneza The universe mbingu haipo ata kidogo kwaiyo unaposema binadamu anauwezo wa kwenda angani ni kusavei katika hii universe lakini sio mbinguni ambapo kwenda huko kunaitaji roho na mwili
Hivi mwisho Wa universe kuna nini
Hivi radius ya universe ni ngapi
Hivi universe imefunikwa na kitu au ipo tupu kwa nje
Kama imefunikwa hicho kitu kina ukubwa gani na kimefunikwa na nin kwa nje
Kama iko tupu huo utupu una limitation ya kiasi gani
 
Nimekuja mkuu!..Nazani Mbinguni unapopatafuta akija Rakim atakupa ramani ya njia yake!..Nasikia masuala ya meditation na Aura dio utaenda vizuri!.
hahaaa nawewe umeipangua hii ..haya ..ngoja nimfuatile rakim
 
Hivi mwisho Wa universe kuna nini
Hivi radius ya universe ni ngapi
Hivi universe imefunikwa na kitu au ipo tupu kwa nje
Kama imefunikwa hicho kitu kina ukubwa gani na kimefunikwa na nin kwa nje
Kama iko tupu huo utupu una limitation ya kiasi gani
Universe aina mwisho ni infinity
 
Universe aina mwisho ni infinity
haijafunikwa na kitu chochote

NB: kwaa akili za kibinadamu ili uwelewe infinity ya universe ni kwamba chini,kulia na kushoto mwa hiyo universe akuna mwisho ila juu ya hiyo universe ina mwisho ambapo ndio mbingu na mbingu huwenda sio kitu physical ninavyozani mie
 
Mkuu ule ni urefu wa macho yako, Dogo wa futi 3 na wewe wa futi 6 mtaona tofauti kitu kimoja!..Hebu sumbua bando lako tafuta hii kitu Rayleigh Scattering!..
naaam nikweli kabisa ..majengo marefu ambayo huwa tunayaona sisi watu wazima nimarefu zaidi mara mbili ya vile waonavyo watoto wadogo ..nakumbuka niliwahi kurudi katk mitaa ambayo niliwahi kukulia wakati nilipokuwa mdogo pictr niliyokuwa naiona ilinitisha zamani nilipokuwa mdogo ile mitaa nilikiwa naiona kuwa nimikubwa mnooo lakini nilivyokuja kuiona ktk umri huu nikaja kushangaa mitaa naiona kuwa nimifupi na hata zile nyumba nikawa naziona kuwa nindogo tu
 
Back
Top Bottom