Mtoto wa tembo
Senior Member
- Oct 4, 2012
- 198
- 30
chuga LEMA anakimbiza kama kawa...jibaba zima linalia jukwaani huko kerai{Bayo}
kacheza makida sana yule dingi,uroho ndio uliomponza.Rasta katimkia ulaya,yule wa kimandolu anapambana na mifugo yake,ni mkulima analisha ngombe wa maziwa,
Bayo yeye ni mpiga ukware maarufu hapa town hana hata kibanda cha nyanya.ila ni bingwa wa misele,yeye kula winga kutoka town mpaka kwa morombo ni kama kumpiga teke chura...anapiga mosele huyo sijawahi ona.
tunapita na kata zote panga pangua.
kacheza makida sana yule dingi,uroho ndio uliomponza.Rasta katimkia ulaya,yule wa kimandolu anapambana na mifugo yake,ni mkulima analisha ngombe wa maziwa,
Bayo yeye ni mpiga ukware maarufu hapa town hana hata kibanda cha nyanya.ila ni bingwa wa misele,yeye kula winga kutoka town mpaka kwa morombo ni kama kumpiga teke chura...anapiga mosele huyo sijawahi ona.
tunapita na kata zote panga pangua.