Mbinga: CCM chali, CHADEMA kidedea

This is good news! Perfect weekend. Ahsanteni sana wapiga kura wa kijiji husika hapo mbinga.
 
Kwani CHADEMA ipo hadi Mbinga! Kule nako kuna wachaga au udini,kina ritz,chama magamba nk hebu toeni ufafanua wa ushindi huo.Harafu hoja mnapita kama hamuioni kimya.
 
kazi inaendelea Mungu aliwa upande wako kila kitu kinawezekana,tulianza na Mungu tunamaliza na Mungu
 
kitaeleweka 2 mdogo mdogo aise
Pipoz power.......
Nguvu ya uma cku zote inatenda haki arifu
 
Back
Top Bottom