Ndo mshashikwa. Unatumbua macho ya nn?
pooooooooooor!!!!!!!!!!
....LIKIFURAHI.. lazima upate uchungu..!!!! weeh... Mutoto ya Arusha lete Castle baridiiiiiiiiiiiiiiii.......Du! umefurai ee?
two face!
umbeya!
....LIKIFURAHI.. lazima upate uchungu..!!!! weeh... Mutoto ya Arusha lete Castle baridiiiiiiiiiiiiiiii.......
Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) kimeigarakaza CCM huko wilaya ya Mbiga kijiji cha Amani Makoro kwa chadema kupata kura 58 na CCM kura 43 kijiji hiki ndiko anakotoka aliekuwa katibu mkuu wa CCM Ndg Laurence Gama nani jirani kabisa na komba..Peoplesssssssssssssss....
....haaaa Mkuu nani akashee glasi na makapuko kuja pande hii ya Picknic.....huku hakuna bia za mgao...haya bwana... sehemu nzuri kupata castle baridi ingekuwa pale Police Mess. lakini kwa uhasama uliopo kati ya polisi na chadema wa arusha sijui kama pale mess panakalika! ha ha ha ha.... ohoo nimechanganya mada. sorry. Hivi Mbinga kuna police mess?
Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) kimeigarakaza CCM huko wilaya ya Mbiga kijiji cha Amani Makoro kwa chadema kupata kura 58 na CCM kura 43 kijiji hiki ndiko anakotoka aliekuwa katibu mkuu wa CCM Ndg Laurence Gama nani jirani kabisa na komba..Peoplesssssssssssssss....
haya bwana... sehemu nzuri kupata castle baridi ingekuwa pale Police Mess. lakini kwa uhasama uliopo kati ya polisi na chadema wa arusha sijui kama pale mess panakalika! ha ha ha ha.... ohoo nimechanganya mada. sorry. Hivi Mbinga kuna police mess?