TANZIA Mbezi Msakuzi: Mwanaume afariki dunia kwa kujinyonga

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,403
Inasomeka huko Mbezi eneo la Msakuzi. Mtu mmoja ambaye jina lake ambalo bado halijafahamika, kabila ni Mchaga amekutwa kajinyonga akiwa nyumbani kwake eneo la Mbezi Msakuzi.

Moja ya mashuhuda akiwemo mke wake anayejulikana kwa jina Awaich Nyela amethibitisha.

Taarifa za awali inasadikika kuwa ni wivu wa kimapenzi, Taarifa kamili iko polisi.

Mbezi na kimara naomba isomeke rasmi kuwa ni kanda maalum ya mapenzi ya kibabe.

Updates!
Mtu huyo aliyetambulika kwa jina la ASENGA miaka 37yrs na mkewe Awaich miaka 48, Inadaiwa kabla ya kujinyonga hawakuwa na maelewano mazuri na mkewe!

Inasomeka marehemu alikuwa akimlalamikia mkewe Mara kwa Mara kujichukulia mikopo kutoka vyanzo mbalimbali na kumpa tabu mmewe kulipa madeni hayo ambayo kuna wakati yalifika hadi 15mil (na hayakueleweka pesa hivyo mkewe alifanyia nn, zaidi ya mkewe kuchoma mbuzi na bia) ili kuepuka fedheha ya kuchukuliwa vyombo vya ndani na wadeni hao! Mmewe Fundi ASENGA Alipambana kurejesha madeni hayo.

Pamoja na hilo, Marehem ASENGA na mkewe waliwahi kutofautiana na kupatana na mkewe Mara kadhaa katika ndoa yao!
Moja ya migogoro ni pale ASENGA alipotaka kumtimua mkewe, hivyo mkewe alimpeleka polisi na kumweka ndani kwa kosa la kumshambulia mkewe (Awaich).

Katika migogoro hiyo, alipoondoka mkewe kwa mda, ASENGA Alijitwalia mafao (house girl) na kutaka kumuoa, hivyo mkewe ASENGA aliposikia house girl anataka kuolewa, ariludi na kumtimua wakati akiwa na mimba ya ASENGA!

Migogoro hiyo ilisuruhishwa wakaendelea na maisha na mkewe Awaich, lakini ASENGA na mkewe kutokana na tofauti ya umri, ni dhahiri kuwa ASENGA alimuoa mkewe akiwa kashazalishwa, moja ya malalamiko ya ASENGA kabla ya kujinyonga ni kwamba, alirejea siku chache kutoka mkoa alikokuwa kambi katika shughuli zake za ujenzi.

Alipofika nyumbani alikuta watoto wengine wawili wa mkewe (Awaich) ambao hakuwahi kuambiwa kuwa aliwazaa kabla na yule mwanaume wa awali, hivyo ASENGA alihoji kuwa kwanini mkewe alimdanganya kuwa ana mtoto mmoja mdogo kumbe kuna wengine wakubwa namna ile tena mmoja kashazalishwa hivyo mkewe ana mjukuu.

ASENGA Aliweka ujumbe mezani kabla ya kuamua kujinyonga chumbani kwake!

Katika ndoa ya ASENGA na mkewe
 
Hii tabia ya kuandika tukio fulan afu mwisho unaweka kabila ki ukweli haipendezi.

Mtu ni mtanzania tena pengine unakuta kishaandikwa jina lake, lkn baadae linachomekwa kabila lake sijui kwa manufaa ya nani.

Ila pia linaangaliwa kabila la muhusika ndo linaandikwa, ikionekana ni kabila lingine kinyume na lile linalotakiwa kuandikwa basi haliandikwi.

Kupambana na kabila moja au mawili nchi nzima haitowasaidia chochote, kama hauna hauna tu.
 
wachaga mnakwama wapi sikuhizi badala ya kutafuta pesa mnakua vituko tu mara kutia watu moto mara kujinyonga yaani vurugu tupu, mara wafe kwa kukanyaga mafuta ya mwamposa yaani sijui wamelogwa na nani, hawa jamaa ninavyowajua mimi wanapenda hela hata mama manka akiliwa poa tu lakini sikuhizi mhhhhh, kalaghabaho
 
Hii tabia ya kuandika tukio fulan afu mwisho unaweka kabila ki ukweli haipendezi. Mtu ni mtanzania tena pengine unakuta kishaandikwa jina lake, lkn baadae linachomekwa kabila lake sijui kwa manufaa ya nani. Ila pia linaangaliwa kabila la muhusika ndo linaandikwa, ikionekana ni kabila lingine kinyume na lile linalotakiwa kuandikwa basi haliandikwi. Kupambana na kabila moja au mawili nchi nzima haitowasaidia chochote, kama hauna hauna tu. Pumbavu...
Mbona kawaida polisi na hospital watu wanaandikwa makabila Yao. Ama unataka tuishi kulingana na mtizamo wako jamani. Afu umetoa povu ni balaa.

Ni Nani anapambana na makabila ama ni just your illusion. Watu wanapambana na maisha wale vizuri walale pazuri ama unajihisi.

Kuna yule binti aliyemtoboa macho mamaye baada ya kumuua naye alikuwa mwenyeji wa Kilimakyasharo.

Mbona kwenye mazuri watu wakiweka makabila Yao sioni unapinga lakini.

Unajua kuwa hivi majuzi tumekuwa na watalaamu Tisa wa neurosurgery wameingia mabinti wawili ambao ni wenyeji wa Kilimakyasharo na hapa najua hutotoa povu.

Usipangie watu waishi kulingana na mtazamo wako
 
Wachaga mnakwama wapi sikuhizi badala ya kutafuta pesa mnakua vituko tu mara kutia watu moto mara kujinyonga yaani vurugu tupu, mara wafe kwa kukanyaga mafuta ya mwamposa yaani sijui wamelogwa na nani, hawa jamaa ninavyowajua mimi wanapenda hela hata mama manka akiliwa poa tu lakini sikuhizi mhhhhh, kalaghabaho
Hizo zitakuwa ni mbegu zimechanganya na Watanzania wengine Ila sio pure kabisa. Wao ni watakatifu sana. Wapo radhi wauze hata mzazi Ila hela ipatikane.
 
Mbona kawaida polisi na hospital watu wanaandikwa makabila Yao. Ama unataka tuishi kulingana na mtizamo wako jamani. Afu umetoa povu ni balaa.

Ni Nani anapambana na makabila ama ni just your illusion. Watu wanapambana na maisha wale vizuri walale pazuri ama unajihisi.

Kuna yule binti aliyemtoboa macho mamaye baada ya kumuua naye alikuwa mwenyeji wa Kilimakyasharo.

Mbona kwenye mazuri watu wakiweka makabila Yao sioni unapinga lakini.

Unajua kuwa hivi majuzi tumekuwa na watalaamu Tisa wa neurosurgery wameingia mabinti wawili ambao ni wenyeji wa Kilimakyasharo na hapa najua hutotoa povu.

Usipangie watu waishi kulingana na mtazamo wako
Haya tutafika tu.
 
Back
Top Bottom