Pale kibanda cha mkaa kwani wamejenga kivuko cha juu?hiyo barabara kugonga watembea kwa miguu ni jambo la sekunde tu..Yale mawe na mapipa waliyoweka yanamfanya dereva kutowaona vizuri watembea kwa miguu wanaotaka kuvuka barabara...unashitukia tu watu wameshaingia road..kama vp wamalize hiyo road waondoe hayo makitu. Na pia why people hawatumii kivuko cha juu?
aki kujibu nitagPale kibanda cha mkaa kwani wamejenga kivuko cha juu?
Nmewaza hivyo. Maana angekua ni raia wa kawaida chamoto angekionaHiyo gari ya polisi pamoja na maafande wenyewe walipaswa kuwa wamechomwa moto mpaka hivi sasa!
Kuna sehemu hawacheki nao.Hiyo gari ya polisi pamoja na maafande wenyewe walipaswa kuwa wamechomwa moto mpaka hivi sasa!
Mkuu, mbezi.... Kibanda cha mkaa kuna kivuko cha juu?hiyo barabara kugonga watembea kwa miguu ni jambo la sekunde tu..Yale mawe na mapipa waliyoweka yanamfanya dereva kutowaona vizuri watembea kwa miguu wanaotaka kuvuka barabara...unashitukia tu watu wameshaingia road..kama vp wamalize hiyo road waondoe hayo makitu. Na pia why people hawatumii kivuko cha juu?
Kitajengwa awamu ya saba nadhani sema nini fureshi tu jamaa kaona isiwe tabu tu.Mkuu, mbezi.... Kibanda cha mkaa kuna kivuko cha juu?
Mbona wamegongwa wakivuka kwenye kivuko...Hiyo njia soon itakuwa machinjio, maana watz huwa tunavuka popote tu bila kujali kama kuna kivuko