Polisi hawatii sheria, wanasisitiza wananchi watii sheria bila shuruti.Ni leo tu nilikuwa najitafakari namna askari wanavyovunja sheria za barabarani wakati mwingi bila hata sababu ya msingi. Overtaking za kijinga tena maeneo hatari kabisa, wao ni kama sheria za barabarani haziwahusu kabisa. Jeshi linapokosa kuongozwa na kutii sheria na kanuni hegeuka na kuwa genge la wahalifu. IGP achukue hatua kabla hatujachelewa sana