dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,216
- 54,841
hako ka eneo kamekaa vibaya sana,
Wapelekwe mahakamani.
Kuna siku nipo Morogoro safari ya masafa marefu nikakamatwa kwa madai kuwa nime - Overtake kivukoni, Nikauliza kivuko chenyewe kipo wapi ndipo nikajuzwa kwamba Zebra kwao ni KivukoniPale kibanda cha mkaa kwani wamejenga kivuko cha juu?
hiyo barabara kugonga watembea kwa miguu ni jambo la sekunde tu..Yale mawe na mapipa waliyoweka yanamfanya dereva kutowaona vizuri watembea kwa miguu wanaotaka kuvuka barabara...unashitukia tu watu wameshaingia road..kama vp wamalize hiyo road waondoe hayo makitu. Na pia why people hawatumii kivuko cha juu?
Daah upo daslmhiyo barabara kugonga watembea kwa miguu ni jambo la sekunde tu..Yale mawe na mapipa waliyoweka yanamfanya dereva kutowaona vizuri watembea kwa miguu wanaotaka kuvuka barabara...unashitukia tu watu wameshaingia road..kama vp wamalize hiyo road waondoe hayo makitu. Na pia why people hawatumii kivuko cha juu?
Askari jitafakalini mienendo yenu
Jamii inawachukia sana
IGP ataita press na kusema polisi walikuwa wakimkimbiza kijana mkorofi kama Hamza, hivyo ni tukio la bahati mbaya.Sipati picha hapo ndio ingekua gari ya private imegonga hao watu. IGP lazima angeitisha press kuwatolea shombo na povu la kutosha maderava wa magari binafsi.
Da watanzania MnamamboSipati picha hapo ndio ingekua gari ya private imegonga hao watu. IGP lazima angeitisha press kuwatolea shombo na povu la kutosha maderava wa magari binafsi.
Mkuu habari yako haijatimia..Wangapi waliogongwa?majeruhi au wamefariki?Ajali imetokea leo tarehe 24/09/2021 muda 11:30Hrs eneo la Mbezi Louis karibu na kituo cha Kibanda cha Mkaa kwenye Zebra.View attachment 1950641View attachment 1950642View attachment 1950643View attachment 1950645View attachment 1950646
Na iwe hivyo tyuuh, hakna namna lolHiyo gari ya polisi pamoja na maafande wenyewe walipaswa kuwa wamechomwa moto mpaka hivi sasa!
Kazi ya polisi ni kulinda usalama ww viongozi na mali zao, kwa kuwashughulikia wananchi wahalifu. Kazi hiyo imewashinda baada ya kupewa kazi mpya na CCM. Chama cha siasa kina wajibu wa kujinadi na kukubalika na kutekeleza ahadi zake. CCM imeliagiza jeshi la polisi kuwashughulikia wote ilioshindwa kuwavutia na sera zake. Unatakiwa kuwa makini.Polisi, madhambi yote yao. Wabambikie wat kesi, waue, walete ajali kwenye Zebra..... halafu Siro nawatetea